Recent content by Newvision

  1. N

    JamiiForums Tanzania Joka mwenye vichwa saba

    Nadhani tunapotea sana kwa kusikiza vitu visivyo vya kweli!!!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Tulisha zungumza juu ya huyu jamaa muda mrefu na kama kuvumiliwa amevumiliwa sana. Simpendi sana mnafiki katika kazi!!
  3. N

    JamiiForums Tanzania Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Zito apumzike huko CCM ndiyo kwake
  4. N

    JamiiForums Tanzania Ofisa JWTZ ahofiwa kutorokea Rwanda

    Sidhani kama uko right sana hapa Vipi Professor Barack Obama yeye si Mkenya tu lakini sasa ni president wa YUESIEI
  5. N

    JamiiForums Tanzania Bunge laahirishwa ghafla kutokanana msemaji wa upinzani kudai serikali inaua waandishi wa habari

    jiulize je hayo siyo ya kweli. Sugu anaonekana kichaa lakini ukweli upo???
  6. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

    Our final destiny is not on the world but in heaven.Get prepared
  7. N

    JamiiForums Tanzania Toyota Land Cruiser for Sale

    Nakubaliana na wewe na hii model kuiuza kwa bei hiyo nadhani ni wezi tu wana weza kuinunua
  8. N

    JamiiForums Tanzania Sensa 2012: Yanayojiri

    Sio sifa ni upuuzi. Utakiona utakapokosa hati ya uraia. Mnaiaibisha Dini yenu tu
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kashfa ya Ufisadi Bandari ya Dar

    Dr Mwakyembe amethubutu lakini mambo bado pale Long room ni uozo tu. Sijui kama pataimprove kitu maana Mgawe et al ana watu wake pale. But the guy (Dr) has made an attempt ambayo JK mwenyewe ameshindwa. Inaweza kuwa mbinu ya kutafuta kukusanya pesa kwa ajili ya 2015 nani anajua???
  10. N

    JamiiForums Tanzania GUARDIAN UK: January Makamba fighting corruption in Tanzania

    January looks dynamic lakini kwa kuwa antoka kwa chama kisichoaminika kinachokula rushwa hata mchana basi ni vigumu kumwani kijana huyu pia.La msingi Watanzania wameamka sana.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Zitto: Serikali isipowataja walioficha mabilioni nje, CHADEMA itawataja hadharani!

    My dear Tanzania unamalizika nakuona mama???
  12. N

    JamiiForums Tanzania Makada wa CCM waongoza kwa wizi na Uhujumu wa Umeme Tanesco!!

    Ole wao after 2015 sipati picha kama utalawala ukibadilika
  13. N

    JamiiForums Tanzania Paul Kagame hana hata Diploma, soma historia yake hapa!!

    Anajua kuwa kinachotakiwa ni Rwanda iende Mbele na inakwenda mbele kwani inflation ni less than 10 % na Tanzania ni over 15%, elimu yao iko juu kuliko yetu computer mpka primary wakati TZ hata ukienda University kutumia computer ni taabu, barabara zao huambiwi kuwa ni za kisasa unaona tu. Sasa...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Congress tells Obama to sanction Tanzania and Tuvalu for helping Iran

    Tujisikitikie kwa kuwa na viongozi vipofu. Hii ni hatari kwetu nafuu kunywea maana hatuangalii ya MCC tu lakini yako mengi ambayo US wakifreeze sote "tutakunya"
  15. N

    JamiiForums Tanzania Kama ndio hivi...wacha wapendwe tu.

    USINI ndiyo bottom line
Back
Top Bottom