Habari wakuu.Naomba kufahamu namna ya kuexport raw cashew nuts ,ni documents gani unapaswa kuwa navyo na taasisi gani za kiserikali zinahusika katika utoaji wa hizo documents. ( Kwa sasa serikali imekataza kuexport raw cashew nuts nataka kufahamu taratibu tu.)
Salama wakuu ! Naombeni kujua wigo wa hii course ilitajwa hapo juu . kuhusu field zake maana kuna mdogo wangu anang'ang'ania. Mimi kama kaka yake sina ujuzi na hiyo course
Salaam wakuu! Naombeni msaada wenu ni vitu gani nahitaji kuzingatia katika mashine za kusaga na kukoboa unga(sembe + dona). wenye udhoefu naombeni mnijuze aina bora ya mashine, wapi naweza pata, changamoto zake, vitu muhimu vinavyoitajika kufanikisha huu mradi. Na masoko ya unga wa sembe yalivyo...
shukrani Mr LORDVILLE!chanzo cha maji ni mto RUAHA , landscape ya shamba sio almost perfectly flat kuna sehemu zingine ina slope kidogo na nyingine tambarare!
Hawa watalaamu wa kupima soil moisture nitawapata wapi Tanzania , na wanatest udongo wa mda gan!
Ingekuwa vizuri ungenielekeza kwa watu...
asante KISIMA! Mimi nipo Iringa kuna watu wananilimia kwa vijaruba na wanatengenezea miferji ! hii system naona haipo efficient kwa sababu kuna loss kubwa ya maji na mafuta ya pampu yanakwenda ile mbaya ! navuta maji about 1km just imagine ! na shamba ni about 10acre !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.