ndugu ulishawahi fika vijijini kwa wakulima wewe...huko kuna hadi wanawake wanakata mkaa unategemea huo usoft wautoe wapi,em tafuta ata kakampuni kadogo kanakofanya research ujaribu kwenda vijijini uone hali halisi
contradiction in here! yani unasema vilaza halafu wanafaulisha alaah. uwezo wa kutumia mifano,maswali na the like kumbe wanao. hakuna mtu anayetaka kukaa sehemu isiyo na maslahi
nilikua nakuonaga u mtata kweli...
ila kwa hili umeonesha uelewa wako..
ni kweli mkiwa na kipato wote mnasaidiana ndani..
tatizo wanaume wengi (sio wote-wengine kwakweli Mungu amewajalia hekima) washajenga mtazamo hasi juu wa wanawake wasomi...
hata tujitutumue vipi kunyenyekea ni bure tu!
mimi nishawahi tumia lumia, ina apps zote smartphones na kuzidi, sina uzoefu na androids phones,,,pia katika store kuna apps nyiiingi ushindwe mwenyewe tu. kiufupi sijawahi juta kutumia lumia kwani hata nisipokua na laptop kazi zangu nafanyia kwa hii simu.
heheheee hili ni swali muhimu mno,
akikujibu sahihi nishtue,
unajua wengine wepesi wa keyboard tu lakini in reality,
utajuta hata ni kwanini ulipoteza muda ku-argue nae,
yan hata guts za kumwambia mtu wa form four dada habari yako hana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.