Recent content by nestory

  1. N

    Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

    lakini, kwni mwanaume anachuma mtini hayo mapene?
  2. N

    Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

    Uko sawa, bati kuna maneno yanaonyesha uko dunia ya nyuma sanaaaaaaaaaaaaaaa.[Acheni kujidharaulisha kaka zangu mwanaume mzima utamuombaje mwanamke vocha?], nyie si ndio mnaodai gender equality?. pls lets continue, na yatakuja zaidi ya hayo ujiandae tu dada yangu. SIKILIZA DADA MSEMO HUU...
  3. N

    GE2010 Kuchelewesha matokeo ya uchaguzi ni mbinu ya CCM kuchochea macahafuko

    kaka, hao sisi em, wana jua wanachokifanya ,wakijua kwamba si sahihi, na hakuna atakaye kua na uwezo wa kuwa wajibsha. hii nchi ni ya ccm, au we ujui? ni aibu wanayoipata ndio msaaada kwetu, wangeweza kufanya zaidi ya hvyo.
  4. N

    kwanini wasichana wako hivi?

    nimekusoma mkuu,basi nitumie neno asilimia kubwa.
  5. N

    kwanini wasichana wako hivi?

    utakuta wakati mahitaji yake yote anayatoa kwako,anakua mpole mkarim na pia mwenye busara.lakini akishapata chanzo chochote cha kumpatia fedha anabadirika.au hiyo ni dalili kua hakua anakupenda? lakini mbona asilimia kubwa about 98%, yani almost wote wako hivyo.naomba mnisaidie wana JF kwenye...
  6. N

    Hatuutaki mfumo dume tunautaka mfumo gani?

    Watu tunajdanganya, mwanamke kutawalwa na mwanaume ni katiba ambayo mungu mwenyewe alitunga na akaptisha mwenyewe,na kama mwanadamu ametokana na mkono wa mungu basi utakua ukifata katiba hiyo,kama siyo kwa hiyari bas ni kwa lazima.mana kuna mazingira mwanamke mwenyewe anajitoa na kumpisha...
  7. N

    Network driver for hp laptop

    buy the way unatumia operating system gani?
  8. N

    Network driver for hp laptop

    e bwana kama upo connected na net just right click kwenye aikon ya my computer>manage>device manager>right click each driver and select update driver,if u cant just contact me.through 0716 31 77 21
  9. N

    Three browser internet

    nenda kwenye start >run>(typpe)dxdiag then utaona specifications za computer yako,sasa wewe nitumie system model number thn nitakupatia jibu lako.more datail contact me through ma e mail adress (cosmas69@yahoo.com)
  10. N

    Msaada wa ku remove software

    kama umeshindwa mpaka sasa,mi nina software inaitwa Registry Mechanic tool ambayo inaweza kufanya hiyo kazi,kama hauna just contact me through 0716 31 77 21 if u want.
  11. N

    Unafanyaje ukikutana na jibu hili,....

    hapo ngoma draw,waswahili wanasema ukimwaga mboga, namwaga ugali
  12. N

    Mapenzi kazini ni sawa na kujifunga bomu kichwani!

    ni sawa lakini kama ndo mbuyu wako ufanyeje,mana mapenzi hayaangalii.ila kama ni mtu ambaye unamtamani tu utimize haja zako mi nasema utajiaribia kazi.na mkuu pale juu atakua yuko sawa
  13. N

    It take 3-5 min to show the desktop

    bonyeza kwenye start,click run,in run toolbar typ the "msconfig"ukishafika hapo bonyeza"BOOT.INI" then reduce the time out to the parameter u want.it can help
  14. N

    maajabu ya wanawake katika mapenzi

    mwanangu formular kamili ya hawa watu hamna, we nenda nao hivyo hivyo.we ukshamjua anataka nini,mpe.
  15. N

    Kuponya Maumivu ya Kuachana (4)

    dawa ni kama alivyo jamaa yangu hapo juu,dawa ni muda lakini pia nataka kuongezea kitu:pia tafuta msicahana mwingine haraka ambaye mda mwingiutakua naye inaweza kukusaiia kupunguzza mawazo.kama utapata huyo mtu na akaweza kukubali vitu unavyompa,automatically utaona no need kuendelea kusumbua...
Back
Top Bottom