Three browser internet

Original Pastor

JF-Expert Member
Nov 14, 2007
1,274
50
Habari wakuu, naingia tena jamvini kwani nilipotea kwa muda kwani huyu provider wangu some times analeta kasheshe. Swali langu sijui kama kichwa cha habari hapo juu nimekiandika sawa mtanirekebisha ok. Mimi kwenye Laptop yangu LG HDD 110, Ram 1GB natumia No.1. Opera 10.01 sasa nimeweka new yake opera 10.10, No.2.Natumia Mozilla Firefox na No. 3. Internet Explorer Je hizi tatu nikitumia kwenye Computer yangu kuna madhara? Kwani nimejaribu Ku install hii Opera New Version 10.10 computer yangu ime go slowly sasa sijui nifanyeje na mimi napenda kutumia Mozilla na Opera sasa naomba ushauri wakuu wangu asante najua nitapata majibu mazuri najua lazima utulize akili na unipe jibu murua au kuna Browser nyingine nzuri zaidi?
 
Hakuna madhara ya kuwa na browser nyingi, hata mia install. Kuna hii ya Google inaitwa Chrome unaweza ukajaribu.
Mimi na Firefox kwa sababu ya extensions zake nyingi, lakini extensions hizo zinapunguza sana speedi ya Firefox, yaani nikitumia IE au Crome huwa nashangaa speedi.
 
Google Chrome (Chromium for Linux Users) is a light on resource and faster than Firefox but as Kang said Firefox is rich on extensions.

But you can verify is the slowness is caused by the browsers or something else. So check your Task Manager to establish what app is eating your resources.

All the best.
 
Hakuna madhara ya kuwa na browser nyingi, hata mia install. Kuna hii ya Google inaitwa Chrome unaweza ukajaribu.
Mimi na Firefox kwa sababu ya extensions zake nyingi, lakini extensions hizo zinapunguza sana speedi ya Firefox, yaani nikitumia IE au Crome huwa nashangaa speedi.
Nina addons 10, we ngapi unazo?

Sijaona noticeable speed kwenye chrome ukilinganisha na Firefox. Chrome nimeachana nayo, it does not recover from a crush as nicely as Firefox does.
Kwenye swala la ku-recover opened tabs in case of a crush or power outage, Firefox imeiacha Chrome mbali sana.
 
Nina addons 10, we ngapi unazo?

Sijaona noticeable speed kwenye chrome ukilinganisha na Firefox. Chrome nimeachana nayo, it does not recover from a crush as nicely as Firefox does.
Kwenye swala la ku-recover opened tabs in case of a crush or power outage, Firefox imeiacha Chrome mbali sana.

Addons 24 not all of them on all the time. Na inategemea zinafanya nini, kuna zengine much heavier than others.
Chrome na IE ni nzuri sana kwenye kuhandle crashing kwasababu kila Tab ni independent process, ikicrash moja haidondoshi zingine.
Kwenye Firefox zote ni same process, ikicrash tab moja inadondosha browser nzima.
 
Addons 24 not all of them on all the time. Na inategemea zinafanya nini, kuna zengine much heavier than others.
Chrome na IE ni nzuri sana kwenye kuhandle crashing kwasababu kila Tab ni independent process, ikicrash moja haidondoshi zingine.
Kwenye Firefox zote ni same process, ikicrash tab moja inadondosha browser nzima.

24 addons is a lot.

Imenitokea mara mbili Chrome ikapotea yote. Nilipoifungua niliona baadhi tu ya tabs zilizowahi kuhifadhiwa ambazo sio recent. Kwangu recovery process ndio muhimu. Umeme ukikatika tabs zangu hazipotei kwenye Firefox. Chrome haijafaulu bado huu mtihani.
 
I guess umefanya conclusion ya haraka sana kwamba your browsers cause the dragging of your comp. Nonetheless, kama walivyoshauri hapo juu, wat i know is firefoxx because of the add ons tends to work/load slower as the add-ons increase!
Again, the more applications you load on your computer the slower it tends to be.
Ushauri wangu: Use only wat u nid! Usilimbikize applications ambazo unazitumia krismasi pekee..nadhani umenipata!
 
I guess umefanya conclusion ya haraka sana kwamba your browsers cause the dragging of your comp. Nonetheless, kama walivyoshauri hapo juu, wat i know is firefoxx because of the add ons tends to work/load slower as the add-ons increase!
Again, the more applications you load on your computer the slower it tends to be.
Ushauri wangu: Use only wat u nid! Usilimbikize applications ambazo unazitumia krismasi pekee..nadhani umenipata!



Sawa sawa nakubaliana na wewe mkuu kwani hii naona computer ina go slower. Poa sana. Asante
 
nenda kwenye start >run>(typpe)dxdiag then utaona specifications za computer yako,sasa wewe nitumie system model number thn nitakupatia jibu lako.more datail contact me through ma e mail adress (cosmas69@yahoo.com)
 
Back
Top Bottom