Recent content by Nestkilly

  1. N

    Nchi 10 zinazoongoza kwa ubaguzi duniani

    kwasasa hivi hata tz ipo ktk kapu la ubaguzi tena ubaguzi mbaya sana.kazi zinatolewa kwa ubaguzi shule watoto wetu wanasoma kwa matabaka vyeo watu wanapata kwa matabaka na hata kuangalia vyama.zamani tulikua tunaishi km ndugu siku hizi watz tunanyosheana vidole huyu dini gani huyu kabila...
  2. N

    Kwa niliyoyaona njiani, wachaga mnakwisha!

    mleta mada inaonekana huna kazi ya kufanya nenda shamba kalime.habari ya kufa mungu ndo anajua elewa kufa nawe lzm utakufa tu.uliona gari zimebeba maiti kwakua wachaga ni tamaduni yao kupeleka kuzika kwao.
  3. N

    Usichojua kuhusu makanisa ya kiroho

    mh makanisa makanisa..kizazi hiki kinataka maajabu tu hakina haja na imani .imani ya sasa ni nipe nikupe watu wanaenda kanisani ili wapate pesa magari kazi nzuri nyumba vyeo mke mzuri .na wachungaji wamegundua udhaifu wetu wanahubiri mali wanahubiri pesa nasi tumeingia ktk mtego huo mn tumekosa...
  4. N

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    mimi sioni kosa la clouds khs kuonyesha kipindi kile ukweli nawapongeza kwa kuzungumzia tatizo ambalo lipo ktk jamii yt .jamani ili kuliondoa tatizo ni vyema kulijadili ili kujua athari zake je watz mnapenda tatizo hili lijadliwe lini ?inashangaza kuona watu hawapendi kujadili mada hii lkn...
  5. N

    Kama Mnyika au mbunge yeyote mwingine anataka kuondoka CHADEMA mwacheni aondoke

    hata nyerere alioanza nao ktk harakati za kudai uhuru wengi walimgeuka wengine walimsaliti wengine waliacha siasa.sio suala la ajabu sana kutokea hayo ht ccm yapo sana aliondoka zitto slaa pia mbona chama kipo.chama si mtu chama ni taasisi
  6. N

    Haya ndio majina ya Makatibu Tawala wa Wilaya wapya kuanzia Julai Mosi, 2016

    mnaangalia majina kutokana na dini kwani wanaenda kuhiji maka jamani hapo kinachoaangaliwa ni uwezo na cv ya mtu.kwahiyo ht km mtu hujasoma waangalie uislamu wako mh
  7. N

    Waumini wa Mchungaji Gwajima waanza kumchoka. Wengi waonesha mashaka yao juu ya kuumwa kwake

    wanawake ndo zao kuhama hama madhehebu .kwakeli wanawake ni mtaji kwa madhehebu ya sasa.imani ya mwanamke ukiiona kwa nje uasema hakika huyu amekomaa kiimani kumbe kwa ndani hakina kitu.
  8. N

    Wana Mkoa wa Mara tumechoka na hili ni tamko letu rasmi!

    mh watu wa mara mbona wengi tu ni madada pouwaa? siku ht taarabu mnaimba
  9. N

    Ni kweli Waislam wamekataliwa kutumia Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya Eid fitr baada ya kukubaliwa?

    mh si vyema mtu ukikosa mazao kwa kutoweka pembejeo ukasingizia ardhi ni vyema kujiuliza kwanini umekosa mazao ili msimu ujao usirudie.waislamu mbaya wao yupo ndani yao wenyewe hivyo km mambo yn hayaendi vzr mjiulize wenyewe msisingizie upande wa pili .nivyema mkapendana na mkaamua kujipinda ili...
  10. N

    Ni kweli Waislam wamekataliwa kutumia Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya Eid fitr baada ya kukubaliwa?

    mimi km mtanzania huwa siangalii sana majina teuzi mbalimbali zinazofanywa na marais wetu mm naangalia utanzania wake tu.mambo ya kuangalia huyu ni dini gani naona huu ni ushamba wa mawzo na ubinafsi na udini uliokithiri ni vyema masuala ya udini tuyaweke pembeni nchi isonge mbele.udini udini...
  11. N

    Ni kweli Waislam wamekataliwa kutumia Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya Eid fitr baada ya kukubaliwa?

    inashangaza sana mtu mzima km mzee mohamed said anawasilisha ushahidi wa picha ya uwanja wa taifa kuliko kuleta picha halisi ya tukio la siku hiyo la uwanja wa uhuru.hv watz ameturoga nani tunakua waongo ht katka mambo ya dini.lengo lt ni lipi hasa.kutaka kuungwa mkono ktk mambo ya dini au ni...
  12. N

    Ni kweli Waislam wamekataliwa kutumia Uwanja wa Uhuru kwa ajili ya Eid fitr baada ya kukubaliwa?

    uongo mwingine ni aibu kubwa .mtoa mada kuwa mkweli kwa ulichoandika na ushahidi wa picha ulioutoa hakika ni aibu .picha ya uwanja wa taifa unaipeleka uwanja wa uhuru siamini mtu unaweza danganya ht ktk kipindi cha ramadhani..
  13. N

    Kitila Mkumbo: Vyama vyote vikongwe vya siasa Tanzania,havina Demokrasia

    tz mtu akiwa prof bs anajiona anaweza danganya watu kwakua ni prof angalia lipumba alivyojifehesha katapika halafu anataka kila matapishi yk mh aibu sana.wasomo wa nchi hii nitatizo kbs ni waoga sana.nawaamini sana watu wenye elimu ya kati lkn wasomi mh ni shida..wanaona masaki makongo mbezi ndo...
  14. N

    Kitila Mkumbo: Vyama vyote vikongwe vya siasa Tanzania,havina Demokrasia

    nchi hii wasomi ndiyo wanafiki wakubwa wasomi ni waoga hawako tayari kupoteza ugali wao ili kuitetea nchi na wananchi .mpk sasa sijaona msomi aliesomeshwa kwa pamba kahawa korosho na wazee wetu akawa dira ya ukombozi wetu naona wasomi wamekua wanafiki tu wasomi wa tz ni wachumia tumbo waoga...
  15. N

    Huduma fake za kichina makanisani

    makanisa makanisa makanisaa biashara biasharaa usaniii usaniii usaniii mh hata yesu alikuta kuna watu wanaponya kwa njia ya belluzaburi naona sasa belluzaburi ameshika kasi zaidi
Back
Top Bottom