Kama Mnyika au mbunge yeyote mwingine anataka kuondoka CHADEMA mwacheni aondoke

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Nakumbuka issue ya Dr.Slaa kutaka kuondoka CHADEMA ilianza hivi hivi.Yalisemwa mengi na alikuwa kimya kabisa pasipo kukanusha.Kwa sasa naona mazingira ni yale yale na habari hizi,kama ilivyojuwa kwa Dr.Slaa, zimekuwa zikiletwa na watu wale wale kutoka upande ule ule.Hii si bure bali huenda kweli kuna jambo na hawa ndio wanasiasa wetu.

Dr.Slaa hakuwahi kukanusha uvumi wa yeye kutaka kujiondoa CHADEMA na hata kuna siku hapa mtandaoni alimjibu Yerricko kwa maneno fulani ambayo hatukuyataraji kuhusu issue ya yeye kukaa kimya nadhani wote mnakumbuka.

Mnyika nae anapita mule mule alikopita Dr.Slaa maana magazeti yanaandika na wala hajisumbui kukanusha hivyo naanza kupata mashaka ni kwanini aache hali iwe hivi ili hali ana uwezoo wa kukanusha kama alivyofanya Lwakatare majuzi hapa JF baada ya uzushi kuwa chama kimemtelekeza huku akiwa mgonjwa.

Mnyika, kama ni wewe, bado una nafasi ya kukanusha uvumi huu na ikibidi sasa uchukue hatua kwa wanaokuzushia ila pia sitashangaa kama utaamua kubwaga manyanga maana huu ukimya wako nao unatia shaka.

Pia kama ni mbunge mwingine tofauti na Mnyika, nae atoe ufafanuzi vinginevyo njia nyeupe aende anakaotaka kwenda tusibembeleze watu.
 
Nakumbuka issue ya Dr.Slaa kutaka kuondoka CHADEMA ilianza hivi hivi.Yalisemwa mengi na alikuwa kimya kabisa pasipo kukanusha.Kwa sasa naona mazingira ni yale yale na habari hizi,kama ilivyojuwa kwa Dr.Slaa, zimekuwa zikiletwa na watu wale wale kutoka upande ule ule.Hii si bure bali huenda kweli kuna jambo na hawa ndio wanasiasa wetu.

Dr.Slaa hakuwa kukanusha uvumi wa yeye kutaka kujiondoa CHADEMA na hata kuna siku hapa mtandaoni alimjibu Yerricko kwa maneno makali juhusu issue ya yeye kukaa kimya nadhani wote mnakumbuka

Mnyika nae anapita mule mule alikopita Dr.Slaa maana magazeti yanaandika na wala hajisumbui kukanusha hivyo naanza kupata mashaka ni kwanini ache hali iwe hivi ili hali ana uwezoo wa kukanusha kama alivyofanya Lwakatare majuzi hapa JF baada ya uzushi kuwa chama kimtelekeza huku akiwa mgonjwa

Mnyika bado una nafasi ya kukanusha uvumi huu ila pia sitashangaa kama utaamua kubwa manyanga maana dalili naziona.

Pia kama ni mbunge mwingine tofauti na Mnyika, nae atoe ufafanuzi vinginevyo njia nyeupe aende anakaotaka kwenda tusibembeleze watu.
nahic mkuu, hii ni dalili ya kale ka posho.. naona huko ndo walipo anza kutofautiana.......
 
Nakumbuka issue ya Dr.Slaa kutaka kuondoka CHADEMA ilianza hivi hivi.Yalisemwa mengi na alikuwa kimya kabisa pasipo kukanusha.Kwa sasa naona mazingira ni yale yale na habari hizi,kama ilivyojuwa kwa Dr.Slaa, zimekuwa zikiletwa na watu wale wale kutoka upande ule ule.Hii si bure bali huenda kweli kuna jambo na hawa ndio wanasiasa wetu.

Dr.Slaa hakuwahi kukanusha uvumi wa yeye kutaka kujiondoa CHADEMA na hata kuna siku hapa mtandaoni alimjibu Yerricko kwa maneno fulani ambayo hatukuyataraji kuhusu issue ya yeye kukaa kimya nadhani wote mnakumbuka.

Mnyika nae anapita mule mule alikopita Dr.Slaa maana magazeti yanaandika na wala hajisumbui kukanusha hivyo naanza kupata mashaka ni kwanini ache hali iwe hivi ili hali ana uwezoo wa kukanusha kama alivyofanya Lwakatare majuzi hapa JF baada ya uzushi kuwa chama kimtelekeza huku akiwa mgonjwa

Mnyika bado una nafasi ya kukanusha uvumi huu ila pia sitashangaa kama utaamua kubwaga manyanga maana dalili naziona.

Pia kama ni mbunge mwingine tofauti na Mnyika, nae atoe ufafanuzi vinginevyo njia nyeupe aende anakaotaka kwenda tusibembeleze watu.
We si ulisema ni uzushi? Kwani ni Mnyika?
 
Nakumbuka issue ya Dr.Slaa kutaka kuondoka CHADEMA ilianza hivi hivi.Yalisemwa mengi na alikuwa kimya kabisa pasipo kukanusha.Kwa sasa naona mazingira ni yale yale na habari hizi,kama ilivyojuwa kwa Dr.Slaa, zimekuwa zikiletwa na watu wale wale kutoka upande ule ule.Hii si bure bali huenda kweli kuna jambo na hawa ndio wanasiasa wetu.

Dr.Slaa hakuwahi kukanusha uvumi wa yeye kutaka kujiondoa CHADEMA na hata kuna siku hapa mtandaoni alimjibu Yerricko kwa maneno fulani ambayo hatukuyataraji kuhusu issue ya yeye kukaa kimya nadhani wote mnakumbuka.

Mnyika nae anapita mule mule alikopita Dr.Slaa maana magazeti yanaandika na wala hajisumbui kukanusha hivyo naanza kupata mashaka ni kwanini ache hali iwe hivi ili hali ana uwezoo wa kukanusha kama alivyofanya Lwakatare majuzi hapa JF baada ya uzushi kuwa chama kimtelekeza huku akiwa mgonjwa

Mnyika bado una nafasi ya kukanusha uvumi huu ila pia sitashangaa kama utaamua kubwaga manyanga maana dalili naziona.

Pia kama ni mbunge mwingine tofauti na Mnyika, nae atoe ufafanuzi vinginevyo njia nyeupe aende anakaotaka kwenda tusibembeleze watu.
Kwani Yale maneno ni uongo?
 
Mnyika akiondoka Chadema ni pigo sana kwa upinzani. Ni mmoja wa wanasiasa wanaopendwa na kuaminika na Watanzania haswa wale wasiopenda siasa za harakati ambao ndio wengi. Tuombe Mungu asifanye hivyo kwa faida ya upinzani otherwise impact yake sio ndogo.
 
Aondokee tu tuna vijana wengi na hali zaidi yake y kufanya kazi
 
Japokuwa mimi sio chadema lakini naona Mnyika analeta tension isiyokuwa na maana. Yeye kama anaona kuna miyeyusho na anataka kusepa afanye hivyo mapema. Just like the Britons now that they are pushed by EU leaders to act quickly on their decision to quit the union.

Maana yake ni kwamba, kama unataka kutoka fanya fasta watu waendelee namaisha mengine. Who knows! labda atakuwa successful zaidi huko anakoenda
 
Japokuwa mimi sio kyadema lakini naona Mnyika analeta tension isiyokuwa na maana. Yeye kama anaona kuna miyeyusho na anataka kusepa afanye hivyo mapema. Just like the Britons now that they are pushed by EU leaders to act quickly on their decision to quit the union.

Maana yake ni kwamba, kama unataka kutoka fanya fasta watu waendelee namaisha mengine. Who knows! labda atakuwa successful zaidi huko anakoenda
Inaudhi sana kwanini mtu utoa mwanya kwa watu kuleta tension isiyo ya lazima miongoni mwa wapenzi wa chama?Ni bora kuwa wazi..Uongo ukisemwa sana hugeuka ukweli.
 
Back
Top Bottom