Recent content by NERIA

  1. N

    Dem mchunaji

    Tatizo mnapenda kukimbia gharama haraka! Haya wewe kua singo ujaze sabuni bafuni kwako basi!!!
  2. N

    Original Komedi wamerudi tena!

    Naangalia hapa ila wamechakachua post zinging za zamani wanavoonesha tulivionaga cku za nyuma! Ila masanja kafunikaaaaaaa nimempendaa bureeeeee
  3. N

    iPhone 4 UNLOCKER iOS 5.1 with baseband 4.12

    Mimi cjaelewaa hii kitu vizuri coz nna iPhone pia! Fafanuaaaa
  4. N

    Anguko la January Makamba

    Daddy's son
  5. N

    Isha,Suma lee,Roma: Washinda Tunzo

    Hongeraa zao ingawa siwajuii
  6. N

    Why do Girls hate dating short guys.....

    Mimi nilikuaga nasema hivyo lakini sasa yamenikuta i am married na mwanamme mfupiiiiiiiiii na mimi ni mrefu sana i cant do away from high hills labda nikiwa nae imenilazimu kuvaa flat,,,, but he is the greatest man i ever met.......................... Caring, humble, gud ****, respect, jamani...
  7. N

    Gossip: Lulu

    Niliona post ya kapten komba na lulu, vipi mbona gafla siioni
  8. N

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Mh!!!!!!!!!!!!!!!! Haya bwana!!! Bongo darisalama hii!!!!!!!!
  9. N

    Kifo cha Steven Kanumba na hatma ya Elizabeth Michael (Lulu)

    Mdau usiwe mwepesi wa kuhukumu mtu!!!!!!!!!! Mimi binafsi sipendi tabia za huyu binti ila kwa hili naomba niwalaumu tena vikali hawa watu wa gpl (magazeti pendwa)))) nilibahatika kusikia mahojiano yoote ya wema redioni alichosema ni kwamba tangu waachane na kanumba walikua na uhusiano wa kawaida...
  10. N

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Mahakama ndio imetengua mdau..........inasemekana kuna some forgery kwenye vyeti vyake. Sasa tusubiri taarifa zaidi
  11. N

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Pole kwa chadema!!!!! Mimi si mwanachadema wala chama chochote lakini nadhani hapana shaka chadema watalirudisha jimbo lao,,,,,,,,wanakubalika sanaaa arusha nimeishi kule naona joto la kisiasa,,,, watu wa arusha huwaambii kitu zaidi ya people's power. Kikubwa wajipange, watafakari ni mgombea...
Back
Top Bottom