I wonder why Tanzania kila siku mbona nchi zingine kama Uganda hatuyasikii haya, jamani watu kuanzia 1972 saiv ndio wanafukuzwa manake wameonekana saiv au, impact ya hizi vitu itakuja kuonekana baadae ukimuona Kobe kainama ujue anatunga sheria
My dea I bealive love is for the two, ninachojua mwanamke ana nafasi kubwa ya kumbadilisha mumewe, kama una any source of income time mume wako ameishiwa mpe surprise ya kumtoa out na kumpa chakula anachopenda sana mwite majina ya upendo mnapotoka then huo usiku mpe mzigo as if hutawahi fanya...
Kuna kampuni ya uingereza inayodili na bird life inatafuta watu kama nyie, unapewa free tiket ya kwenda Asia na kufanya forest management inayoitwa ecosystems conservation for the survival of their birds
Kaka bora kukosea kujenga kuliko kuoa, aliepanulia mwanaume akazaa nae umemuhurumia na mzigo wake ukamchukua bado anaendelea kumpa kimbia itakugharimu zaidi ya hapo
Kuna jamaangu kaombwa hela kiasi cha laki tano kama dhamana baada ya kukamatwa na maafisa fulani sitowataja na hakupewa kitu chochote kinachoonyesha kaitoa hio hela, ila baadae kapelekwa mahakamani na tulikuwepo kama shahidi wakati akiitoa, vp hio ni ruswa au ni nn mana anaidai lakini...
Siwezi subiri kushauriwa ila kama amenitusi nimeomba msamaha anaendelea kisha ndala then nitatoka nitafute wa kunipunguzia stress then nirudi vry late asipoelewa nitarudi na plan B
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.