Wee ogopa watu na madale wamejaa mashushushu wanamiliki maduka makubwa na liquor stores( blood money) chunga mdomo wako tena wapo humu if ukionyeshwa hutaamini.
Mkuu hapa kwenye ndoto huwa inakuwaje maana naota sana nikiwa pamoja na ndugu yangu marehemu akinionyesha vitu na baada ya mda mfupi vinatokea kweli, hii imekaaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.