Utajiri wa Ndagu/Majini

Utajiri wa Ndagu/Majini

Tafuta mnyama, ningekushauri chatu, tafuta kinda,
Mfuge Kwa kumpa anachostahili kula, ole wako, usimpe kilichokufa, pia usimshindishe njaa,
Hakikisha unamuona muda wa kumpa chakula tuu basi, pia hakikisha hakuna mtu yeyote atakayefahamu kuwa unafuga chatu, iwe Siri,

Akifa na mtu atakufa, uhai wake ndio utajiri wako, linda silka zake, na yeye atalinda mali zako,

Milele abaki kuwa rafiki wako wa Siri, ndie mwenye kukupa nguvu, hakikisha anaua mwenyewe, pia usimuweke kwenye sakafu, na chakula utampatia wewe mwenyewe

Utambadilishia kitoweo kutokana na umri, na mara Moja moja jitahidi kumsogelea karibu ili azoee harufu yako

Pia ningekushauri ungeweka mbali wanawake na familia Kwa Sasa, ili wasikuharibie mambo

Ahsante
 
Tafuta mnyama, ningekushauri chatu, tafuta kinda,
Mfuge Kwa kumpa anachostahili kula, ole wako, usimpe kilichokufa, pia usimshindishe njaa,
Hakikisha unamuona muda wa kumpa chakula tuu basi, pia hakikisha hakuna mtu yeyote atakayefahamu kuwa unafuga chatu, iwe Siri,

Akifa na mtu atakufa, uhai wake ndio utajiri wako, linda silka zake, na yeye atalinda mali zako,

Milele abaki kuwa rafiki wako wa Siri, ndie mwenye kukupa nguvu, hakikisha anaua mwenyewe, pia usimuweke kwenye sakafu, na chakula utampatia wewe mwenyewe

Utambadilishia kitoweo kutokana na umri, na mara Moja moja jitahidi kumsogelea karibu ili azoee harufu yako

Pia ningekushauri ungeweka mbali wanawake na familia Kwa Sasa, ili wasikuharibie mambo

Ahsante
shida pakumpata mkuu. waganga wengi wamekua matapeli
 
Kwann usifanye hivi.... Tumia asili ya kwenu kukupa mali, hii njia ndo utajiri salama usio na madhara wala mashart yoyote!!

Yani ukipita huku hutoletewa mali ndani.... ila itakuwa ukifanya biashara zinakulipa, deals zinakufata n.k

Kuliko kufuga mijinyoka mwisho unaingiza kizazi chako chote kwenye maagano yatakayowatesa maisha yote!!
Mizimu (asili zetu) huwa wanamali ni vile hatujui namna ya kuwafanya watupe.

Ukimpata mtaalam kabla mpe hii option kwanza,,,,, mwambie nataka mali ila kupitia mizimu ya kwetu!!

(Nimetoa ushauri tu, Mimi Sina elim hiyo.... maana watu kwenye mambo ya mali hawakawii kuja dm🚶🚶
 
Back
Top Bottom