Recent content by nellymlay

  1. nellymlay

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    nakwambia embu jarib kumfata kwenye post...zake kama hutamjua babu alie mzaa bib wa bibi wa bib ako mzaa babu yako
  2. nellymlay

    hata sisi tukishinda tutafanya hivi

    SERIKALI YA MUNGU MTU INA CHAKUJIFUNZA HAPA" Aliyekuwa mfungwa wa kisiasa nchini Gambia Ndg.Amadou Sanneh, mwenye umri wa miaka 72 ameteuliwa wa wa Waziri wa fedha, ikiwa ni siku 3 tu baada ya kuachiliwa huru na Rais Adama Barrow. Amadou aliwekwa gerezani na Rais Yahya Jammeh kutokana na...
  3. nellymlay

    Sijui ni mchoro ama paking

    am also asking 4 that
  4. nellymlay

    Kile mzazi anachokiona kwa mwanae aliyepata zero form 4 akiingia chumbani kwake

    dar starehe nyingi hakuna kusoma...mtoto anasoma pemben pana baa pana gest pana club nk..kusoma kutatokea wap
  5. nellymlay

    Sijui ni mchoro ama paking

    robert nmekuelewa
  6. nellymlay

    Sijui ni mchoro ama paking

  7. nellymlay

    Shukran kwa kikwete

    UNCLE NIMEAMINI WEWE ULIKUA NA AKILI NYINGI SANA.. IVII.... -Uliwezaje kulipa wafanyakazi hewa na wasio hewa -Kumlipa Kocha wa Taifa stars -Kulipia wanafunzi hewa na wasio hewa -Fedha za kujikimu za wanavyuo hewa na wasio hewa -Wa vyeti feki na wale wa halali -KUTOA AJIRA ZOTE KWA MDA BILA...
  8. nellymlay

    Singida: Tundu Lissu(MB) akamatwa na Jeshi la Polisi, Kusafirishwa kupelekwa Dar haraka!

    watu wengine hamjui maana ya democrasia mnaropoka tu...hii serikali inaboa
  9. nellymlay

    Looking for gentleman

    sawa
Back
Top Bottom