Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.
“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo...
Katibu mkuu ni mtendaji , ndiye anayepanga na kuratibu shughuli zote za chama. Mwenezi ni mtu wa propaganda anatangaza yale ambayo katibu mkuu ameshayachakata. Hivyo Katibu ni mtaalam na si mtu wa mbwembwe
Serikali iliwalipa wote waliohamia Dodoma yaani baba , mama, na watoto wanne pamoja na vyombo. Wewe unasubiri nini Dar na watoto? Acha kulalamika muulize vema mkeo hela yenu ya uhamisho iko wapi mbebe vyombo uende hiyo nyumba yako pangisha. Au ulijiona una akili nyingi ukamwambia aende alafu...
Acheni mzaha kwenye mambo ya msingi, mie nauliza swali unajibu asante kwa taarifa. Uko serious? Kabla ya kujibu maswali jiridhishe mkoa husika kwa kuuliza na si kutoa majibu yako ya mfuko. Kupewa ajira ya kujibu maswali ya watu si kuwa una majibu bali jipe muda ujibu majibu sahihi.
Sent using...
0739387868 Naomba majibu kuhusu kukatika kwa umeme Nachingwea - Lindi. Je ni mgao na utaisha lini? Narudia hii wiki ya tatu sasa. Mfano leo umeme umekatwa saa nane mchana umerudishwa saa tano usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache tabia ya kutuma sms kwangu kuhusu vifurushi vya Dar Uni wakati mie niko Lindi. Mnashindwa kujua hii cm tunayoitumia sms inasomeka mnara wa mikoa gani.
Mjipange vizuri mnapotea kwa uzembe. Kama mnataka wekeni Lindi Uni ili sms zenu zinuhusu na si kunijazia sms kwenye simu bila tija...
Je mgao wa umeme umeanza? Nachingwea mkoani Lindi wiki ya tatu umeme unawaka lisaa limoja wanakata matatu. Kibaya zaidi ikifika saa kumi na moja jioni wakikata kurudisha saa tano au sita usiku, hujui hata nchi inaendaje maana wiki ya tatu hatuoni habari kwenye televiaheni usiku. Naomba kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.