Bodi ya mikopo ya wanafunzi mpaka leo hawajatoa majina ya wanafunzi waliobahatika kupata mkopo, iwe mkopo wote au sehemu ya mkopo.
Vyuo vinafunguliwa November mara baada ya uchafuzi mkuu tu Ila mpaka leo bado hamna majina yaliyotolewa labda kupata mkopo au sehemu ya mkopo. Wanafunzi wanahitaji...
Habari
Iko hivi kuna jamaa yangu amekutwa na kosa la jinai katika moja ya mahakama zetu hapa nchini na amehukumiwa kulipa fine tu kwa kosa alilotenda.
Lakini jamaa huyu ni katibu wa tasisi moja ya wajasiriamali.
Je kwa hukumu hii atakuwa amepoteza sifa ya kuendelea kuwa katibu wa tasisi...
Nina vyuti km 6 hivi mpaka sasa na ntaongeza 4 ili viwe 10. Nikifika chuo ni mwendo wa vyuti. Kuzingatia ud pale ni mwenyeji. Hivi Daruso bado ipo hai maana ntaanzia hapo daruso nipate kacheo alafu press naita kila baada ya miezi mitatu.
Nikuhakikishie kazi ni nyingi sana ondoa shaka, akili...
Yani nisome law alafu nikae kitaa miaka 10 bila kazi. Labda ww hufahamu maana ya kazi. Hapa sina fani yoyote ya cheti lkn tayari nina kazi zaidi moja. Kazi ni nyingi sana ila vyeo ndio vichache. Ukianiambia nisome law alafu nikae miaka 10 bila kuwa waziri au rais wa jamhuri ntakuelewa.
Naomba msaada wa mawazo kati ya kozi hizo mbili nichague ipi ni nikasome chuo kikuu Bachelor of technical education in computer science au Bachelor of science in information technology?
Salamu!
Nimechaguliwa chuo cha tumaini Dar Es Salaam kozi ya IT ngazi ya bachelor. Ila ada naona iko juu kulinganisha na vyuo vya serikali. Je loan board watalipa ada yote ikiwa ntapata mkopo 100% au niaje wakuu.
Naomba majibu kabla sija confirm kujiunga na chuo hiki kwani nimechaguuliwa chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.