Ni kweli kwamba unapokuwa kwenye ndoto unauwezo wa kufanya maamuzi kulingana na tukio unaloota kama kukubali,kukataa,kufurahi,kuchukia,kuogopa,kutokuogopa,kuamini au kutokuamini.
Kifupi matukio ya kwenye ndoto yatatokea kama kwenye uhalisia yanavyotokea. Maisha ni mapambano uki give-up inakula...