Kitu ambacho matajiri hawatakuambia kamwe!!!

Kitu ambacho matajiri hawatakuambia kamwe!!!

Ushasikia skendo zake za kuifilisi SUKITA na NBC,hebu itafute habari ile ya Rostam Aziz alivyomwaga ugali,baada ya mengi kumweka ktk list yake ya mafisadi wanaoitafuna nchi hii.Ngoja nikuwekee na habari hii na ilivyoweka ndio ikawa mwisho wa vyombo vya habari vya IPP kumuandama Rostam Aziz.Hapo utapata majibu kwanini wafanya biashara wengi hasa wale mafisadi wanapenda kumiliki vyombo vya habari.
MICHUZI BLOG: MAELEZO YA MHESHIMIWA ROSTAM AZIZ KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI, JUMAPILI, 03 MEI, 2009
Aisee, ni noma mzee. Nmeisoma yote
 
uko sawa kuna mtu wa kalibu nilikuwa najiuliza utajiri huu kapata vip. nika anza kufuatilia historia yake du. niliyo yagundua nikiyaweka wazi jamuhuri inaweza nitafuta. sasa ni mzee wa kanisa na ana heshimika.
 
Ushasikia skendo zake za kuifilisi SUKITA na NBC,hebu itafute habari ile ya Rostam Aziz alivyomwaga ugali,baada ya mengi kumweka ktk list yake ya mafisadi wanaoitafuna nchi hii.Ngoja nikuwekee na habari hii na ilivyoweka ndio ikawa mwisho wa vyombo vya habari vya IPP kumuandama Rostam Aziz.Hapo utapata majibu kwanini wafanya biashara wengi hasa wale mafisadi wanapenda kumiliki vyombo vya habari.
MICHUZI BLOG: MAELEZO YA MHESHIMIWA ROSTAM AZIZ KWENYE MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI, JUMAPILI, 03 MEI, 2009
Ngoja nsome!!
 
Kwa hiyo Matajiri wote walifanya hayo madude ndo wakawa ivo walivyo Leo ..??
 
uko sawa kuna mtu wa kalibu nilikuwa najiuliza utajiri huu kapata vip. nika anza kufuatilia historia yake du. niliyo yagundua nikiyaweka wazi jamuhuri inaweza nitafuta. sasa ni mzee wa kanisa na ana heshimika.
Wengi wana biashara nyingi haramu nyuma ya pazia
 
acha imani potofu ww unaraka kutuambia mungu hawez kumnyanyua mtu?
ulianza vizuri mada yako ila umemalizia kwa pumba
 
Legal or Illegal you got to make it
The end justify the means
 
You're wrong my dear
we unadhani kunakipi kingine zaidi ya ya hayo?
Ukijua namna ya kusave pesa, uwekezaji ndio maana hao wote wanaofanya dili haramu huwa wana miradi yakutaakatisha pesa zao usipokuwa makini pesa utapata lkn bado unaweza ukawa maskini mfno wadangaji wengi wa kibongo na wauza ngada.
 
Ukijua namna ya kusave pesa, uwekezaji ndio maana hao wote wanaofanya dili haramu huwa wana miradi yakutaakatisha pesa zao usipokuwa makini pesa utapata lkn bado unaweza ukawa maskini mfno wadangaji wengi wa kibongo na wauza ngada.
Upo sahihi dear
ila unajua kwanini nimesema upon wrong? Because
Mungu anatoa utajiri na shetani anatoa utajili, Ukifuata hayo uliyoainisha hapo utafanikiwa kihalali kutoka kwa Mungu, Mungu hakupi utajiri haraka lazima upambane na use an +be mind/Creative sasa wengi hawawzi vumilia ndio wanafanya Yale ya haramu na lazima wafanikiwe tu maana shetani hua hakawii kukupa kitu. so ukiua,kafara,kuiba,kudhulumu etc lazima ufanikiwe haraka.
 
Umewahi jiuliza inakuaje -watu wanaofundisha wenzao kufanikiwa, maisha yao pia bado ni ya kuunga unga tu na pengine hiyo kazi ya kumotivate watu ndo chanzo cha mkate mezani kwake?

Mwalimu wa marketing na ujasiliamali hana hata kiosk cha mboga mboga!!!!

Basically, wanopaswa kufundisha watu namna ya kufanikiwa ni wale ambao wameshatusua ili wanachokifundisha kiwe ni zao la practical experience na sio merely theory

Ila katu matajiri hawatokaa hata siku moja wakuambie ukweli namna ya kufanikiwa na ni jinsi gani walipata pesa maishani mwao

A matter of fact, asilimia kubwa ya watu waliotoka kimaisha kuna game chafu walizozicheza na kujikuta kwenye direction waliopo Leo, wako:

waliodhurumu
Walioiba
Walioua
Waliotoa makafara
Wanaomiliki jini chuma ulete
Waliodanga na wenye nazo kisha wakawaua wapenzi wao ili walithi mali etc


Haya mambo, hakuna tajiri atakuambia aliyafanya, lnstead atakuhimiza Fanya kazi kwa bidii na weledi.

Mdau leta uzoefu wako ktk hili
Ndugu mtoa mada utajiri ni fumbo kubwa, ukweli ni kwamba wapo waliopata utajiri kwa njia halali waliopata kwa njia haramu pia wapo. sio kweli kwamba matajiri wote wamepata kwa njia haramu.
Utajiri ni roho, na umasikini ni roho.
Maana yake ni hii- mfano wapo matajiri wengi sana ambao ni masikini wa kutupwa, katika jamii yako lazima kuna mtu unaye mfahamu ambaye amewahi kumiliki mali nyingi na zote zilishapotea na sasa hv ni mtu wa kawaida, huyu ndio mwenye roho ya umaskini, umaskini una tabia zake na hata ukimpa fedha zote za benk just matter of time atakuwa bankrupt atarudi kwenye asili yake..
Vile vile wapo kwenye jamii watu waliokuwa maskini sana na sasa hv wanauwezo mkubwa kiuchumi.
SIRI ya utajiri (fedha) ni tabia, kuna tabia ambayo fedha zinakuja zenyewe na kuna tabia ambayo fedha zina kimbia. penye tabia/roho nzuri ya fedha utajiri hautaisha vizazi kwa vizazi. kinyume chake penye tabia/roho mbaya hata kama pana utajiri mkubwa hautadumu.
Utajiri wwt uliokuja kwa njia haramu kimsingi sio utajiri, kwa maana ya uhuru na manufaa ya utajiri. wengi tunaowaona kwa macho kama matajiri wanamateso makubwa sana ikiwemo masharti ya kula, kuvaa, unyumba, n.k n.k.
Wasaka utajiri wengi wanafeli kwa sababu wanataka kucopy mafanikio/ kazi au shughuli ya mwingine. anayefanikiwa kwa kuuza nyanya akatajirika ukimuiga itakula kwako na sababu ni rahisi utajiri ni tabia/roho ambayo ww hutaweza kuiga tabia ya mwingine.
Usitumie nguvu kusaka pesa, chochote unachofanya kupata fedha lengo liwe kutoa huduma na sio fedha, hapo fedha zitakuja zenyewe. Saikolojia ya fedha ukiifukuzia inakimbia, lakini ukijifanya kama huitaki itakuja yenyewe malengo yako yatatimia
 
Ndugu mtoa mada utajiri ni fumbo kubwa, ukweli ni kwamba wapo waliopata utajiri kwa njia halali waliopata kwa njia haramu pia wapo. sio kweli kwamba matajiri wote wamepata kwa njia haramu.
Utajiri ni roho, na umasikini ni roho.
Maana yake ni hii- mfano wapo matajiri wengi sana ambao ni masikini wa kutupwa, katika jamii yako lazima kuna mtu unaye mfahamu ambaye amewahi kumiliki mali nyingi na zote zilishapotea na sasa hv ni mtu wa kawaida, huyu ndio mwenye roho ya umaskini, umaskini una tabia zake na hata ukimpa fedha zote za benk just matter of time atakuwa bankrupt atarudi kwenye asili yake..
Vile vile wapo kwenye jamii watu waliokuwa maskini sana na sasa hv wanauwezo mkubwa kiuchumi.
SIRI ya utajiri (fedha) ni tabia, kuna tabia ambayo fedha zinakuja zenyewe na kuna tabia ambayo fedha zina kimbia. penye tabia/roho nzuri ya fedha utajiri hautaisha vizazi kwa vizazi. kinyume chake penye tabia/roho mbaya hata kama pana utajiri mkubwa hautadumu.
Utajiri wwt uliokuja kwa njia haramu kimsingi sio utajiri, kwa maana ya uhuru na manufaa ya utajiri. wengi tunaowaona kwa macho kama matajiri wanamateso makubwa sana ikiwemo masharti ya kula, kuvaa, unyumba, n.k n.k.
Wasaka utajiri wengi wanafeli kwa sababu wanataka kucopy mafanikio/ kazi au shughuli ya mwingine. anayefanikiwa kwa kuuza nyanya akatajirika ukimuiga itakula kwako na sababu ni rahisi utajiri ni tabia/roho ambayo ww hutaweza kuiga tabia ya mwingine.
Usitumie nguvu kusaka pesa, chochote unachofanya kupata fedha lengo liwe kutoa huduma na sio fedha, hapo fedha zitakuja zenyewe. Saikolojia ya fedha ukiifukuzia inakimbia, lakini ukijifanya kama huitaki itakuja yenyewe malengo yako yatatimia
Utajiri wa kweli/haki unaenda na heshima,
Utajiri wa kweli unaenda kwa hatua, hapa maana yake utajiri ni kama mti unaota taratibu unaweka mizizi shina matawi na hatimaye kuzaa matunda. utajiri huo hautatikiswa. Lakini utajiri unaoota kama uyoga au kama mchicha siku saba umeshakuwa mkubwa tegemea anguko kuu.
Mwenye roho ya utajiri milioni moja inatoshakabisa kumtoa, lakini mwenye roho ya umaskini hata ukimpa bilioni moja haimtoshi. utajiri au umaskini upo ndani mwako.
 
Back
Top Bottom