hii picha imeniumiza sana tena sana, maisha ni magumu sana kwa watanzania wengi, na huu ni mfano halisi. huyu mama akikaa nyumbani kulea mtoto inakula kwake, kwa hiyo inabidi mtoto akomae na mama yake kwenye biashara. ni hali ya huzuni sana, achilia mbali akina mama wanaolima na watoto wachanga...