- Thread starter
- #41
Kama uwezo na afya ni nzuri sioni ubaya.Hivi kuna watu bado wanafikiria kuwa na 'timu ya mpira' katika karne hii!
Kama uwezo na afya ni nzuri sioni ubaya.Hivi kuna watu bado wanafikiria kuwa na 'timu ya mpira' katika karne hii!
Hili mpakaukatafute taarifa huko LISHE mkuu?A scientific answer can be obtained from taasisi ya LISHE, Tanzania (Tanzania Food and Nutrition Centre) among other authorities
<br />10 yrs Husninyo?Si kawaida!!
Dah,umenikumbusha jinsi wapemba walivyo na watoto wengi,ukichanganya na ndoa ya wake wengi,balaa.wenzetu wapemba mtoto akifikisha miezi nane wanampeleka mtoto kwa bibi iliwatafute mtoto mwingine
Hapo tutadanganyana.mmhh
miezi mitano..
Labda afya iwe ina mgogoro<br />
<br />
sio kawaida kweli ila ndio ukweli.
<br />Hapo tutadanganyana.
Hongera kwa kumwaga ujuzi mamaa.<br />
<br />
NO.
Wengi tu..
Zaa haraka iwezekanavyo
Rudi gym .. .. rudisha shape..
Who doesn't want be a sexy mamaa..
Kama ulivyosema miaka 10 labda uishie watoto 2,maana huyo wa 2 utampata ukiwa na zaidi ya 40yrs+.<br />
<br />
kivipi?
Kwa ujumla child spacing inategmea AFYA ya mama, njia ya kujifungua (kawaida au kwa operesheni), hali ya ELIMU na UCHUMI wa watengenezaji wa hao watoto, kwa watu maskini ujumbe ni kuwa spacing iwe si chini ya miaka miwili, lakini kama mama ana afya njema, anajifungua kwa njia ya kawaida na uchumi wako unaruhusu basi ruksa kuchagua spacing ambao ni convenient kwenu hata kama ni chini ya mwaka mmoja.ni umri/muda gani wa watoto wanaozaliwa wanastahili kupishana
It as if mnamwingilia Mungu..........okey mie nitapishananisha miaka 10 ili akikua anisaidie kulea mwenzie..............lakini ni lazima kuwa na watoto zaidi ya 1?
Umejitahidi sana,bravo.mimi nimeolewa nikiwa 26, next wk nagonga 35, nimeshajingua watoto 4, na funguo nimeweka hata ikija tsunami haifungui! sasa nakimbizana kuwatafutia riziki nikiwa na nguvu kibao! msiogope kuzaa!
mimi nimeolewa nikiwa 26, next wk nagonga 35, nimeshajingua watoto 4, na funguo nimeweka hata ikija tsunami haifungui! sasa nakimbizana kuwatafutia riziki nikiwa na nguvu kibao! msiogope kuzaa!