Nafurahi sana kuwa kwenye jumba hili kubwa la jamii forum,
Kwa ukubwa huu nategemea kupata mawazo mzuri ya kunisaidia ktk jambo lifuatalo:-
Ndugu yangu aliingia kwenye Saccos moja hivi akiwa na wanachama wenzake kadhaa na waliweka hisa zao kiac cha mil kadhaa kwa kila mtu baada ya miaka...
Hivi cc watz tumelogwa na nani
1.Mkuu wa kaya hakuwa nje kikazi alikuwa chato kwa mapumziko ya mwisho wa Mwaka
2.Kama waziri anajitambua haliwezi fanykia jambo linalohusu wizara bila wewe kujua hili Mhongo alikuwa anajua na Kama alikuwa hajui bac iko shida
3.Kwa nini watu wakisema kweli...
Wapendwa wenzangu wa JamiiForums, bila shaka tumekuwa tukisikia habari za Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kutaka kupandisha gharama za umeme.
Wapendwa nadhani hii si sahihi hata kidogo kwani tuliambiwa faida za kuanza kutumia gesi yetu ni;
1.Kuwa na umeme wa uhakika.
2.Kuwa na umeme wa bei...
Kwa kweli siku hizi hawa viongozi wetu wa dini wamesahau kabisa miiko ya utumishi wao,inawezekana huyu akawa anasingiziwa lkn ukweli ni kwamba wengi wao wanatia kichefuchefu nadhani sadaka zetu wanazozipata bila jasho ndizo zinazo walevya.
Mbaya zaidi wanawapiga vita Sana wale waliosimama kwa...
shida yako ni kwamba hujui maandiko kwa anayejua maandiko hilo haliwezi sumbua kwani anajua ni kweli kisemwacho,mungu akufungue macho ya rohoni uelewe maandiko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.