Jamani mm nimelima vitunguu mkoani mbeya katika kijiji cha igawa natarajia kuvuna jumatatu tarehe 18/7/2016 tatizo ni bei imeshuka mno. Gunia huku watu wananunua kwa shilingi elfu sitini tu (60) je, wapi nitapata soko zuri naombeni ushauri wana jamvi
Jamani mm nimelima vitunguu mkoani mbeya katika kijiji cha igawa natarajia kuvuna jumatatu tarehe 18/7/2016 tatizo ni bei imeshuka mno. Gunia huku watu wananunua kwa shilingi elfu sitini tu (60) je, wapi nitapata soko zuri naombeni ushauri wana jamvi
Taarifa niliyoipata kwa mmoja wa member wa ndani kabisa ktk ccm anasema kesho kuna vijana wamewakodi vijana kufanya fujo buguruni wakiwa na sare za chama cha c.u.f ili ionekane hawakubaliani naye, pia ionekane wako upande wa lipumba
Majibu ni kama mlivyoelekeza ninyi nyote wawili hapo juu,gharama zitaongezwa na ubora wa tiles maana sio tiles zote zinauzwa 29000 kwa box. Kuna tiles za China, Italy, south africa , Brazil n.k
Wewe mleta mada ndio unamsakama padre kwa maneno ya uzushi na chuki.... Unatoa mifano mfu ya muhimbili bila hata woga. Unaifahamu kweli hiyo muhimbili au umehadithiwa, muhimbili kweli ina hadi ya kuitwa hospitali ya taifa wakati wakina mama wanalala chini kwny wodi ya wazazi?
Pole sana mkuu, mi mwenyewe ni muhanga wa matukio kama hayo, inatia uchungu sana kuona tigo pesa hawana ushirikiano wa kutosha kwa mawakala wao. Ukiibiwa unabaki peke yako na Mungu wako. Mimi niliibiwa laki mne kwa njia hozohizo za ujanj:flame::flame:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.