IFM - Huu ni Uzembe

IFM - Huu ni Uzembe

Mada hii wengi wanasema ni ya uongo. Sasa mimi napenda wafanue.......uongo wa hii mada ni kukopi majibu ya mitihani ama kufanyial mtihani computer lab?
 
Imekugusa sio?

Sio imenigusa ila mleta mada naona anayake.. Mimi nilisoma pale.. Pia hapa nilipo nipo na Director of computer science, ninemuonyesha huo uzi kusema hakuna issue kama hiyo, na kweli hata mimi nilishawahi kufanyia kwenye computer lab ila computer zote zinabe disconnected na umeme na hata hata ufanyeje hawezi kuziwasha, sasa kusikia maneno mtaani si vyema kuzileta hapa fanya uchunguzi
 
Siku zote nilikuwa nashangaa, vuvuzela kama mwiuguluu alipataje first class wakati hata darasa 7 tuu alifeli zaidi ya mara 3 adi akadandia jina la mtu mwingine, sasa nimepata jibu!
 
Nilikuwa mahali, kwa bahati mbaya kuna wanafunzi wa IFM walikuwa wanaongea nikawa nawasikia. Inaonekana wapo kwenye mitihani kwa sasa. Lakini walikuwa wanaongea jinsi usimamizi wa mitihani ulivyokuwa wa kizembe hapo IFM.

Inaonekana wanafanyia mtihani kwenye vyumba vyenye computer, hao wasimazi kwa vile hawapo serious na kazi yao, wanafunzi wanaweka notes zao zote kwenye hizo computer na wanawasha hizo computer wakati wa mtihani na kucopy majibu.

Sasa inawezekana hao walimu labda wameongwa na baadhi ya wanafunzi ili wafanye hivyo. Najiuliza mambo mawili, kwanza kwanini mtihani ufanyike kwenye chumba cha computer wakati mtihani sio wa computer, pili wakati hawa wanafunzi wanajiachia kuwasha hizo computer na kucopy majibu hao walimu wanakuwa wamekaa wapi!!.

Tafadhali IFM mrekebishe hili haraka na msituletee makanyaboya huku mitaani.


Weka audio tusikize mazungumzo ya hao wanafunzi wakiongea.
 
Hakuna kitu kama hicho kuwasha computer maybe unambie walikuwa na karatasi wanacheat sio kuwasha
Ni kawaida kwa wanafunzi kucheat kwa kuingia na karatasi
Umetumwa una topic ya msingi rekebisha maneno yako ulete maana
 
Saa nyengine mtu ukiambiwa jambo na wewe ujiambie.... Duh!! Yaani mtu anawasha computer kabisa kwa kucopy? Hii ni too much. Unadai eti wanaweka notes katika computer, mi nimesoma IFM, nakumbuka mpaka mtihani unakaribia ndo najua nafanya chumba gani, sasa huo muda wa kuandika notes kwenye computer cjui ntaupata wapi. Ama kuingia na vikaratasi hii ni possible, kwenye mitihani ya taifa NECTA yenye ulinzi mkali watu wanaingia na vikaratasi ijekuwa chuo wasimamizi ni walimu wa hapo hapo wanafunzi washawasoma? Mtu yoyote anaweza kuingia na cmu chumba cha mtihani akagoogle na hasa chumba cha computer ambacho ile screen inakificha na kukupa mwanya. Lakini hili la wanafunzi kuwasha computer wakacopy notes duh!! Litie mfukoni ukae nalo mwenyewe.

We jiulize;

Ikiwa mtu hujui chumba unachofanya mtihani mpk dakika ya mwisho, muda wa kuandika notes katika computer utaupata wapi?

Na ukiingia chumba cha mtihani watu wanakaa random, hakuna hii seat ya nani wala ya nani, je utaandika notes katika computer zote?
 
Acheni wivu wa kike mleta mada utakuwa umelimwa supplimentary ifm au cbe soma wewe ulienda chuo peke yako hukwenda na mtu kuingalia huyu anafanya nini sijui kafaulu kwa chupi ni yeye wewe haikuhusu fanya maendeleo acha umbea uliyoongea ni uongo mtupu hizo story za vijiweni.hivi unajua computer room wana acces vipi zile computer??? Watu kama nyie ndio mnaishiaga kusimamishwa na kupigwa vipapai makazin kwa umbea wenu kila mkiona kichaka mnataka jisaidia
 
Sio imenigusa ila mleta mada naona anayake.. Mimi nilisoma pale.. Pia hapa nilipo nipo na Director of computer science, ninemuonyesha huo uzi kusema hakuna issue kama hiyo, na kweli hata mimi nilishawahi kufanyia kwenye computer lab ila computer zote zinabe disconnected na umeme na hata hata ufanyeje hawezi kuziwasha, sasa kusikia maneno mtaani si vyema kuzileta hapa fanya uchunguzi

Iyo unazungumzia scenario ya kutumia compyuta room kujifunzia ... mimi nazungumzia madudu yanayoendelea kwenye hivyo vyuo hasa CBE na IFM unataka kusema suala lakuibia halipo? naelewa inaweza kuwa vyuo vyote lakini huko is too much tena kwa msaada wa mwalim wa somo..mkibisha naweka nondo hapa... nitataja na majina.. huu uzi umekuja muda muafaka...
 
Siku zote nilikuwa nashangaa, vuvuzela kama mwiuguluu alipataje first class wakati hata darasa 7 tuu alifeli zaidi ya mara 3 adi akadandia jina la mtu mwingine, sasa nimepata jibu!

mkuu wewe sio muongo tu bali ni jongo na zushi...kuliko!!!
kama hujui kitu kaa kimya niko na kaka yangu hapa yy licha ya ukaribu na Nchemba pia walisoma wote
Nimemuonyesha huu uzi amecheka sana
Anasema Nchemba sio tu alikuwa kichwa bali alikuwa na akili si za kawaida
(Achana na siasa au mapungufu ya mtu jifunze kumpa mtu credit pale anapostahili)
 
Iyo unazungumzia scenario ya kutumia compyuta room kujifunzia ... mimi nazungumzia madudu yanayoendelea kwenye hivyo vyuo hasa CBE na IFM unataka kusema suala lakuibia halipo? naelewa inaweza kuwa vyuo vyote lakini huko is too much tena kwa msaada wa mwalim wa somo..mkibisha naweka nondo hapa... nitataja na majina.. huu uzi umekuja muda muafaka...
Mkuu taja na ukitaja weka na picha au video.. Acha wivu wa kijinga kwanza ulimea wapi wewe.. Na uache umbea wako hapa ulimuona akiibia au ulikuwepo? Acha umbea wa kike na mipasho taja na weka ushahidi
 
Nilikuwa mahali, kwa bahati mbaya kuna wanafunzi wa IFM walikuwa wanaongea nikawa nawasikia. Inaonekana wapo kwenye mitihani kwa sasa. Lakini walikuwa wanaongea jinsi usimamizi wa mitihani ulivyokuwa wa kizembe hapo IFM.

Inaonekana wanafanyia mtihani kwenye vyumba vyenye computer, hao wasimazi kwa vile hawapo serious na kazi yao, wanafunzi wanaweka notes zao zote kwenye hizo computer na wanawasha hizo computer wakati wa mtihani na kucopy majibu.

Sasa inawezekana hao walimu labda wameongwa na baadhi ya wanafunzi ili wafanye hivyo. Najiuliza mambo mawili, kwanza kwanini mtihani ufanyike kwenye chumba cha computer wakati mtihani sio wa computer, pili wakati hawa wanafunzi wanajiachia kuwasha hizo computer na kucopy majibu hao walimu wanakuwa wamekaa wapi!!.

Tafadhali IFM mrekebishe hili haraka na msituletee makanyaboya huku mitaani.


Wewe DASA naona utakuwa umevimbiwa sasa unatafuta pa kupunguza gesi iliyojaa tumboni mwako, hebu tutolee ushuzi hapa
...
 
this is a sad situation... sasa subiri hao vijana watoke hapo na degree zao, ni perepete dunia nzima, kudeliver nehi che!!

Mtu anayepitia mfumo wa udanganyifu ni vigumu sana kuacha, most of them watakua wanapiga matukio kazini, hawaamini au kuheshimu uaminifu kwasbabu wamejijenga kwa mfumo wa kisanii

kwa bahati mbaya sana, tatizo sio IFM peke, ni kama vile liko vyuo vyote
 
Mkuu taja na ukitaja weka na picha au video.. Acha wivu wa kijinga kwanza ulimea wapi wewe.. Na uache umbea wako hapa ulimuona akiibia au ulikuwepo? Acha umbea wa kike na mipasho taja na weka ushahidi

Mkuu usipanic, hivyo vyuo vyenu vya kulea mabogus endeleeni kujipa moyo, ni suala la muda tu.
 
Mbona kwenye interview wanafunz wa IFM wanafany.virur san na makampun mengi hasa financial institutions huwa wanaprefer sana graduate wa IFM?...Karib kila kampuni hapa mjin ukiend ni ifm gradute wamejaa huko...je na huku wanaiba!?
Kule NBAA kat ya wanafunzi wanaokuwa awarded CPA kila mwaka wengi wao wanatok UDSM na IFM na hadi sasa record zinaonyesha wanaoongoza kupata cpa ni graduate kutoka UDSM ikifuatiwa na IFM..je na uku wanaiba?...huwez Fananisha ifm na cbe utakua umefnya mistake kubwa sana...cbe wengi ni wale waliodisco kule ifm..IFM kuna visheria vikali san vinavyokulazim usome hta kam ulikua mvivu...
Sikatai kuna makosa yapo but ifm bado kuna kitu very spercial academicaly..yan ukisom pale ukatoka mbumbumb bas utakua una matatizo makubwa san kichwani..
 
Naona wanafunzi wa cbe na IFM wameamka,hvi na nyie huwa mmeridhika kbsa eti mpo chuoni.?hvi hyo ni vyuo au kichefuchefu..
 
Njooni kwenye interview muone watoto walivyo maboya! Hawajui hata hesabu za kujumlisha lkn ndo wamemalizia bcom sasaivi. Elimu yetu ni Majanga sana aisee.
Siku hizi kazi za wanavyuo ni kuchanga pesa na kuunga mkono wagombea urais wanaonunua uongozi km lowasa aka mamvi

Fact! Fact! Fact!
 
Maada ya uongo mtoa maada unataka comments zijAe kwenye post yako kama yangekuwepo hYo mambo hakuna mtu ambae angekua ana disco.
 
Back
Top Bottom