Recent content by ndugu mteja

  1. N

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Walozi mnafeli wapi? Si mfanye mambo?
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tusipochukua maamuzi magumu Taifa letu la Tanganyika litapotea kabisa

    Ni wazi nayosoma hapa yameandikwa na kijana wa zamani haswa. Gen Z kutumia alama kama mkato, nukta n.k ni jambo gumu sana kwao. Tatizo letu ni mfumo mbovu na muendelezo wa utamaduni wa hovyo wa kuogopa kuulizana na kuchukuliana hatua. Hali ambayo imechangia hata watu wenye nia ya kweli...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Niko njiani naelekea Sumbawanga nikanunue radi ya kumtupia mgombea urais

    Weka lipa namba nichangie manunuzi mkuu.
  4. N

    JamiiForums Tanzania TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Ndio maana nataka nianze kujifunza ulozi ndugu. Yaani mapema sana ningeangusha mbuyu watoto wamumunye mabuyu.
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume mwanafunzi wa shule ya Msingi anaingiliwa kinyume na maumbile !Msaada hatua za kuchukua

    Hawa jamaa wa ajabu sana mkuu. Huyu dogo sekunde tu anabwabwaja vyote. Nina mwanangu alikuwa mkaidi kinoma. Mzee wake kuna siku alitumia ule waya ya pasi kumpa somo la milele. Baada ya hapo dogo aliacha na ufala wake kwa asilimia zaidi ya 90. Mzee alipiga siku nzima. Alikuwa anampiga huku...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume mwanafunzi wa shule ya Msingi anaingiliwa kinyume na maumbile !Msaada hatua za kuchukua

    Broh, waya zipo za aina tofauti tofauti. Kwa kuzingatia darasa analosoma chukua ule mwembamba wa kopa. Dk 5 tu anamtaja muhusika na kukupeleka wanapofanyia mchezo. Kizazi cha sasa kina malezi mazuri sana,
  7. N

    JamiiForums Tanzania JamiiForums imenifanya tuamue maamuzi haya mimi na wife

    Mkuu, umetoa somo kubwa sana ambalo vijana linawashinda sana. Vijana wanaingia ndoani bila kujua maana ya ndoa.
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Walimwengu wapo shughulini. Ila watakuja na kupunguza manung'uniko.
  9. N

    JamiiForums Tanzania Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Nimelipitia andiko vyema. Na bado naendelea kulipitia. Nimehusisha pia wakati wa andiko na rais aliekuja kipindi cha baada ya andiko. Ni kweli baada ya yule '' nilii'' aliefuata alikuwa na nguvu kubwa, ila nilitaka kujua kwa wakati husika uliona katika utofauti uliotokea (kwamba angetokea...
  10. N

    JamiiForums Tanzania Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Mkubwa, hapa kwa ajaye uliona nini? Natamani nisikie neno kuhusu sehemu ndogo ya aya hiyo ya mwisho.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Wahuni Wameteka Kila Kitu, Wananchi Waende Wapi?

    Wananchi eneo lao ni kubwa zaidi ya wahuni. Sema tu hawajaamua kwenda panapostahili. Barabara ya BARABARA ROAD ndio eneo la wananchi. Ila tupo zetu MTANDAONI ROAD tunakunywa alkasusi mujaaraaabuu
  12. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mahakama yaamuru mashahidi kesi ya Tundu Lissu walindwe

    Nikiwaambia kuwa miaka yangu ya mbeleni nataka nisomee ulozi kwa kiwango cha dunia mnashangaa. Ningekuwa fundi ningemshamalizana na hao waendeshaji wa kesi siku nyingi sana.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Meme: Jimbo la Kilwa pamoto sana

    Dah, si wangemloga na rahisi wa MANTHETHE shughuli ianze upya? Vita vya ma D YA 28 na Neema katika kiti hicho si salama kwa afya ya jamii.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Ukizeeka unataka kuwa nani?

    Binadamu wanavyozidi kunikera nafikiria kuwa mshirikina ili nisiwe napata maumivu ya nafsi pindi wajingawajinga wakisumbua. Kama yule mkuu wa shirikisho la futibumbu ningekuwa mshirikina ningekuwa namtumia nyuki kila atakapoongelea masuala ya mpira au kila atakapokaribia mazingira ya ofisi. Ni...
Back
Top Bottom