Recent content by Ndugu Mheshimiwa

  1. Ndugu Mheshimiwa

    Couples za JamiiForums

    Hiyo @mahondra ni demu wa kila mtu, kwahyo Smart asidhani amefika
  2. Ndugu Mheshimiwa

    Tupeane uzoefu jinsi ya kuishi na mwanamke bila kumpiga makonde

    Utongozaji wako ni wa kizamani sana. Huyo mahondaw sijui makonda unayemtaka sie tunapiga show kama kawa, kinachoongea pochi...inaonekana huna hela na umewekeza sana kwenye kuongea na kujipendekeza...mwanaume hajipendekezi, ni either umkamue mtoto kwa uwezo wako au wengine wakamue. cc mahondaw
  3. Ndugu Mheshimiwa

    Mimi ni Mwanamuziki, natafuta Kazi.

    Sina mtaji, hivyo bado nategemea ajira.
  4. Ndugu Mheshimiwa

    Mimi ni Mwanamuziki, natafuta Kazi.

    Habari wakuu, Mimi ni Mwanamuziki na ni Mwalimu wa muziki. Uzoefu wangu ni tangu nikiwa Elimu ya Msingi ambapo nilikuwa Muimbaji, Mtunzi na Mwalimu wa Kwaya mbalimbali jijini Mbeya, na kisha kutumikia Live Bands pamoja na kufundisha kwenye Music Academy mbalimbali. Ninapiga Gitaa la rhythm na...
  5. Ndugu Mheshimiwa

    Uvamizi CUF: Ni matunda ya vikundi vya ulinzi ndani ya vyama?!

    Ulinzi ni haki ya kila mtu na kila taasisi. Hivyo vikundi vya ulinzi havina tofauti na zile Kampuni za ulinzi ambapo unaweza kuwakodi wakulindr hadi bafuni. Napinga CUF kuvamiwa na hujuma zinazoendelea dhidi yake.
  6. Ndugu Mheshimiwa

    Watanzania tuwe na huruma, tuwasamehe Bongo Movie.

    Binafsi Bongo Movie nimeshawasamehe baada ya kuona wameanza kuingia location kwa motisha na hamasa kubwa. Tutarajie mambo mazuri.
  7. Ndugu Mheshimiwa

    Rais Magufuli kukutana na Wabunge wa CCM mjini Dodoma

    Waitane tu, ni haki yao kukutana na kurekebisha mstakabali wa Chama. Nchi hii ni huru. Ila hawapaswi kutumia mwanya wa Chama kuunda serikali kutekeleza njama zao haramu za kukandamiza usawa kwa wapinzani.
  8. Ndugu Mheshimiwa

    Najilipua Tena Kilimo cha tikiti

    Hongera sana mkuu, Mungu akutangulie, wadudu walao mazao walaaniwe.
Back
Top Bottom