Mimi ni Mwanamuziki, natafuta Kazi.

Apr 23, 2017
10
77
Habari wakuu,

Mimi ni Mwanamuziki na ni Mwalimu wa muziki. Uzoefu wangu ni tangu nikiwa Elimu ya Msingi ambapo nilikuwa Muimbaji, Mtunzi na Mwalimu wa Kwaya mbalimbali jijini Mbeya, na kisha kutumikia Live Bands pamoja na kufundisha kwenye Music Academy mbalimbali.

Ninapiga Gitaa la rhythm na besi, Kinanda na drum (drum ni mitindo ya taratibu tu). Kitengo nilichobobea ni kwenye Uimbaji, Sauti na Utunzi.

Ninaomba kazi kwenye Band, shule ya Muziki au Studio. Nina Diploma ya Muziki kutoka nje ya Nchi.

Kwa mwajiri au mwenye nia ya kunisaidia basi aje PM kwa mazungumzo zaidi. ASANTENI.
 
Aisee apo naona tatizo ni mtaji tu ndo unasumbua vinginevyo kujiajiri ndo jambo LA msingi kuliko kuajiriwa.
Ili kupata kajimtaji japo kidogo cha kurun life and your project,just wafuate WCB na studio mbali mbali waambie kusudi lako na onesha kipaji chako I believe Mungu atakusaidia utapata ajira.

Pole sana kwa usumbufu ambao umeupata.
Mungu asimame upande wako ili ufanikiwe daima.
 
Anza kovulunteer katka kazi ya music maeneo mbalimbali bla kuonwsha interest ya pesa na kuonesha unajua sana.
 
Sasa mkuu, wewe ni mwalimu wa mziki, hiyo ni kazi tosha, nakushauri acha mawazo hayo ya kuajiriwa, hebu tunga nyimbo then record sisi tununue, hiyo ni kazi tosha. Kwa proffesion yako hiyo, nani atakupa kazi maana unatisha.
 
Sasa mkuu, wewe ni mwalimu wa mziki, hiyo ni kazi tosha, nakushauri acha mawazo hayo ya kuajiriwa, hebu tunga nyimbo then record sisi tununue, hiyo ni kazi tosha. Kwa proffesion yako hiyo, nani atakupa kazi maana unatisha.

Umeshanunua album ngapi za Watanzania mkuu...?
 
Habari wakuu,

Mimi ni Mwanamuziki na ni Mwalimu wa muziki. Uzoefu wangu ni tangu nikiwa Elimu ya Msingi ambapo nilikuwa Muimbaji, Mtunzi na Mwalimu wa Kwaya mbalimbali jijini Mbeya, na kisha kutumikia Live Bands pamoja na kufundisha kwenye Music Academy mbalimbali.

Ninapiga Gitaa la rhythm na besi, Kinanda na drum (drum ni mitindo ya taratibu tu). Kitengo nilichobobea ni kwenye Uimbaji, Sauti na Utunzi.

Ninaomba kazi kwenye Band, shule ya Muziki au Studio. Nina Diploma ya Muziki kutoka nje ya Nchi.

Kwa mwajiri au mwenye nia ya kunisaidia basi aje PM kwa mazungumzo zaidi. ASANTENI.

Nakutakia kila la kheri Mkuu kwani napenda sana Mtu mwenye kuujua Muziki kama Wewe hasa ukizingatia kuwa hata Mimi ni Mdau mzuri wa Muziki. Naamini muda wowote kuanzia sasa Kilio chako kitasikika na utapata tu Bendi ya Kuitumikia.
 
Nakutakia kila la kheri Mkuu kwani napenda sana Mtu mwenye kuujua Muziki kama Wewe hasa ukizingatia kuwa hata Mimi ni Mdau mzuri wa Muziki. Naamini muda wowote kuanzia sasa Kilio chako kitasikika na utapata tu Bendi ya Kuitumikia.
Mkuu napenda kusikia maoni yako kuhusiana na wimbo wa papa mukulu....mokonzi...boss Shantwaa Antoine Legendary Koffie Charles Olomide wa " Tshou Tshou Tshou"
 
Mkuu napenda kusikia maoni yako kuhusiana na wimbo wa papa mukulu....mokonzi...boss Shantwaa Antoine Legendary Koffie Charles Olomide wa " Tshou Tshou Tshou"

Akhsante kwa kuniamini Mkuu ila nisikufiche najua 30% tu ya kumuhusu Charles Antoine Koffi Olomide a.k.a Mopao Mokozi le Maximeone au Large Degaire au Nicolas Sarkozy lakini ungeniuliza kuhusu Jean Bedele Tshituka Mpiana a.k.a Mukulu ya Bamukulu a.k.a Souverain a.k.a Bin Adam a.k.a De La Patria a.k.a Moto Pamba a.k.a Lonkia Bilo Dan Kokoo na Bendi yake nzima ya Wenge Musica Bon Chic Bon Genre ( Le Equipe Nationale / Timu ya Taifa ) ningekujibu kiufasaha kwani ndiyo Bendi ambayo naijua in and out kwa 100% zote.

Naamini kuwa humu jamvini wapo Team Koffi Olomide wengi tu Mkuu hivyo watakuja na watakupa majibu yao unayoyataka vuta tu subira.
 
Habari wakuu,

Mimi ni Mwanamuziki na ni Mwalimu wa muziki. Uzoefu wangu ni tangu nikiwa Elimu ya Msingi ambapo nilikuwa Muimbaji, Mtunzi na Mwalimu wa Kwaya mbalimbali jijini Mbeya, na kisha kutumikia Live Bands pamoja na kufundisha kwenye Music Academy mbalimbali.

Ninapiga Gitaa la rhythm na besi, Kinanda na drum (drum ni mitindo ya taratibu tu). Kitengo nilichobobea ni kwenye Uimbaji, Sauti na Utunzi.

Ninaomba kazi kwenye Band, shule ya Muziki au Studio. Nina Diploma ya Muziki kutoka nje ya Nchi.

Kwa mwajiri au mwenye nia ya kunisaidia basi aje PM kwa mazungumzo zaidi. ASANTENI.
Nitafute kwa namba hii tufanye kazi 0621014638
 
Sasa mkuu, wewe ni mwalimu wa mziki, hiyo ni kazi tosha, nakushauri acha mawazo hayo ya kuajiriwa, hebu tunga nyimbo then record sisi tununue, hiyo ni kazi tosha. Kwa proffesion yako hiyo, nani atakupa kazi maana unatisha.
Kuna sehemu huwa wanarekodi bure?
 
Back
Top Bottom