Recent content by Ndombwindo

  1. Ndombwindo

    Baadaya Trump kuwasaidia Iran kufunga njia, Marekani ndie msambazaji mkubwa wa mafuta duniani, Hakuna tozo ya kuingia wala hofu ya kulipuliwa na Iran

    Bado ameshindwa kuelewa kuwa katika hiyo 80% ukiachilia mbali chi kama Iraq, USA mwenyewe yupo kama mzalishaji mkubwa tu. Watu hudhani USA hakuna mafuta, gas na vitu kama hivyo.
  2. Ndombwindo

    Baadaya Trump kuwasaidia Iran kufunga njia, Marekani ndie msambazaji mkubwa wa mafuta duniani, Hakuna tozo ya kuingia wala hofu ya kulipuliwa na Iran

    The so-called hasara kwa USA ni exaggeration tu, wale budget zao zinabebwa na illegal activities nyingi wanazofanya worldwide, wapo Congo for years waki smug various minerals ambazo nyingine ndio hizo hutengeneza hizo aircraft, wapo Venezuela now, wapo middle east wanakula hela ya waarabu kwa...
  3. Ndombwindo

    Watu wawili wenye heshima mbele ya Trump

    Kabisa mkuu, akisema muweke, umeisha.
  4. Ndombwindo

    Watu wawili wenye heshima mbele ya Trump

    Hizi nyakati ndio nimeelewa maana halisi ya Israel mtoa roho, kama Benja analist na ndiye mtoa roho, Trump akiwa kama mtoa go ahead si ndio anakuwa mungu wa huo ufalme sasa..
  5. Ndombwindo

    John Mnyika: Kwa ukubwa wa mapito tuliyopitia Aprili 28-29 Kamati kuu itafanya kikao maalum

    Wasichome muhindi kwa tochi, wala wasisafishe mkaa, kama chafu ni chafu tu.
  6. Ndombwindo

    Baadaya Trump kuwasaidia Iran kufunga njia, Marekani ndie msambazaji mkubwa wa mafuta duniani, Hakuna tozo ya kuingia wala hofu ya kulipuliwa na Iran

    Anaeleweka vizuri tu, sema Lugha mgongano labda, hizo empty tunkers ni kutoka kwenye masoko ya hilo eneo, ambayo yanaweza kuwa India, Africa, n.k yanaelekea USA kuchukua Crude oil, maana yake Iran kawabania wenzake majirani pamoja na yeye, America kaongeza ukuta, wateja option iliyobaki ni...
  7. Ndombwindo

    Baadaya Trump kuwasaidia Iran kufunga njia, Marekani ndie msambazaji mkubwa wa mafuta duniani, Hakuna tozo ya kuingia wala hofu ya kulipuliwa na Iran

    get rich or die tryin' metaphor, that's exactly how a reasonable human being should always think and act about it. And business is strictly financial, to hell with feelings.
  8. Ndombwindo

    Naibu Waziri wa Mambo ya nje China, Sun Weidong aondolewa Madarakani

    Mbona habari kuu ilipaswa kuwa hii, "Ndugu waziri anakasura flani hivi, unique sana, kukku kishingo si kuku kishingo, flamingo si flamingo, Rango si Rango yaani we acha tu".
  9. Ndombwindo

    Papa Leo: Siogopi utawala wa Trump. Nazungumzia Injili, mimi si mwanasiasa

    Mungu wa agano jipya mjomba...
  10. Ndombwindo

    Papa Leo: Siogopi utawala wa Trump. Nazungumzia Injili, mimi si mwanasiasa

    Labda Mungu wa Rumi, sio wa Daudi, yule Mungu wa vita.
  11. Ndombwindo

    Dkt. Nchimbi: Kosa tunalofanya viongozi wengi ni kutumia vibaya madaraka kwa maslahi binafsi

    Huwezi washinda ukiwa nje, yupo sahihikutupa mabomu ndani kwa ndani, hata dawa ya minyoo haipakwi nje ya tumbo, unatupia humo humo. Empire nyingi ziliangushwa kwa assassins za ndani moja kwa moja.
  12. Ndombwindo

    Imefikia pabaya sana. Mnakaa mitaani na kuomba viongozi wenu wauliwe kama wale wa Iran!

    Sniper D. Trump ajifanye kama anajikuna hivi, akosee shabaha, MISSILE iangukie kwenye lile jengo la bunge la nchi ya kusadikika, tena liwakute wote wamehudhuria kikao hewa kuzikomba per diem zao haramu. Mungu atakuwa amemaliza mzozo mkubwa!!
  13. Ndombwindo

    Salma Kikwete: Majaliwa hakutimiza ahadi ya kujenga barabara ya lami, Serikali ina mpango gani?

    Sorry is a sorry word in the first place, hate is hate, just keep your concerns to yourself.
  14. Ndombwindo

    Ni nini kigetokea kama Shetani asigelikuwepo/Kuasi?

    Kila mwanangoma huvutia kamba kwake, upo sahihi kwa upande wako pengine kutokana na elimu yako kubwa juu ya Kiswahili, Ila nikushauri pia kwa nyakati nyingine jambo la msingi ni kuzingatia mantiki ya hoja husika, tunapoandika comments hasa kwenye hizi forums ambazo wakati mwingine muda wa...
  15. Ndombwindo

    Ni nini kigetokea kama Shetani asigelikuwepo/Kuasi?

    Si ndio nakuambia hata hadith za sungura na fisi zimeandikwa, target ya mwandishi ni nini? mind control.
Back
Top Bottom