Recent content by Ndombwindo

  1. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Inasound vizuri, waitekeleze tu.
  2. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Kuelekea Uchaguzi wa Marekani: Trump ahaidi kuwalipa Wamarekani Republicans wakishinda

    I made 'Jesus Walks,' I'm never going to hell - Ye.
  3. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Kiulizo: Yupo wapi Dkt Emmanuel Nchimbi aliyekuwa makamu wa Raisi

    Picha la kihindi hili, intermediate saa moja na dakika 45 wakati Hollywood hiyo tayari ni full movie. Tutaelewana tu.
  4. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Vitabu vya kishirikina vinavyowapa kiburi wapemba na baadhi ya mashehe na maustadh

    labda na yeye anavisoma shekhe
  5. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania ULINGANIFU WA MIUNDO YA MIUNGANO: Nyerere alizidiwa Maono na Karume, Unfortunately, alidhani ataishi milele kuziba mianya.

    Copy and Paste ya mfumo wa UK ilimgomea, maana wanzanzibar hawakuwa wajinga pia. MUHIMU KUJIFUNZA: Tofauti kati ya wenye akili Nchi 4 zenye chumi kubwa zinaungana na kuunda serikali kuu moja, na wafuata mkumbo tuinchi tudogo tuwili ambato GDP zake anamiliki muwekezaji mmoja tu toka USA tunakuwa...
  6. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Tofauti kati ya wenye akili Nchi 4 zenye chumi kubwa zinaungana na kuunda serikali kuu moja, na wafuata mkumbo tuinchi 2 GDP zake anamiliki mcheza Basketball USA tunakuwa na viserikali uchwara kibao: Ulinganifu wa Miundo ya Miungano KipengeleMuungano wa Uingereza (UK)Muungano wa Tanzania...
  7. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    "Asiyejua maana, haambiwi maana" na "aisifiae mvua, imenyea"... Kalaghabao
  8. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Umekatisha maisha ya watanganyika wenzangu wengi tu kwa hofu zisizo na mashiko, eti kwamba, tukiwaacha wajitawale hao wazenji itakuwa Islamic state hatari kama Somali. Swali ni je? Kenya ushawahi skia ikitaka kujiunga na Somalia ice chi moja ili waweze kuwacontrol hao majirani zao hatari...
  9. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Sema nini tumepitia nyakati za kipekee sana kama Tizedi!

    Hii inaonyesha kuwa Ngwengwe ni janga la Kitaifa, uakwimu zinasonga gapi gapi this time around kama miaka hivyo hali ilikuwa hivyo?
  10. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Nimepewa unabii: Kutakuwa na vifo vya wanafamilia wa Utawala huu

    Typing error, nadhani alitaka kumaanisha, "Nimeona" akaandika "Nimeota"...
  11. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Kuna ubaguzi wa kikabila, Utaifa na mpasuko wa kidini, Utanganyika, Uzanzibari

    Bring back my Tanganyika, to hell with Muungano fake for the sake of CCM beneficiaries.
  12. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya Lissu kupigwa risasi ndiyo Mume kaondoka!! ? Jitafakari ujumbe

    What a sad coincidence.
  13. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Isije ikawa huyo Yesu ndio Shetani mwenyewe, Watu hawajashtuka tu.
  14. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Huyu hana tofauti na spirit iliyokuwa ikiwatesa kina Rutu, mpaka malaika wakataka kubakwa na hao mafiraji, ilipelekea ulimwengu kuwashwa moto, sasa huyo Mungu kigeugeu katokea wapi tena? This time around anawabeba mashoga? . Wonder why Jews wale kindakindaki hawajihusishi na mafundisho ya...
Back
Top Bottom