Bado ameshindwa kuelewa kuwa katika hiyo 80% ukiachilia mbali chi kama Iraq, USA mwenyewe yupo kama mzalishaji mkubwa tu. Watu hudhani USA hakuna mafuta, gas na vitu kama hivyo.
The so-called hasara kwa USA ni exaggeration tu, wale budget zao zinabebwa na illegal activities nyingi wanazofanya worldwide, wapo Congo for years waki smug various minerals ambazo nyingine ndio hizo hutengeneza hizo aircraft, wapo Venezuela now, wapo middle east wanakula hela ya waarabu kwa...
Hizi nyakati ndio nimeelewa maana halisi ya Israel mtoa roho, kama Benja analist na ndiye mtoa roho, Trump akiwa kama mtoa go ahead si ndio anakuwa mungu wa huo ufalme sasa..
Anaeleweka vizuri tu, sema Lugha mgongano labda, hizo empty tunkers ni kutoka kwenye masoko ya hilo eneo, ambayo yanaweza kuwa India, Africa, n.k yanaelekea USA kuchukua Crude oil, maana yake Iran kawabania wenzake majirani pamoja na yeye, America kaongeza ukuta, wateja option iliyobaki ni...
get rich or die tryin' metaphor, that's exactly how a reasonable human being should always think and act about it. And business is strictly financial, to hell with feelings.
Mbona habari kuu ilipaswa kuwa hii, "Ndugu waziri anakasura flani hivi, unique sana, kukku kishingo si kuku kishingo, flamingo si flamingo, Rango si Rango yaani we acha tu".
Huwezi washinda ukiwa nje, yupo sahihikutupa mabomu ndani kwa ndani, hata dawa ya minyoo haipakwi nje ya tumbo, unatupia humo humo. Empire nyingi ziliangushwa kwa assassins za ndani moja kwa moja.
Sniper D. Trump ajifanye kama anajikuna hivi, akosee shabaha, MISSILE iangukie kwenye lile jengo la bunge la nchi ya kusadikika, tena liwakute wote wamehudhuria kikao hewa kuzikomba per diem zao haramu. Mungu atakuwa amemaliza mzozo mkubwa!!
Kila mwanangoma huvutia kamba kwake, upo sahihi kwa upande wako pengine kutokana na elimu yako kubwa juu ya Kiswahili, Ila nikushauri pia kwa nyakati nyingine jambo la msingi ni kuzingatia mantiki ya hoja husika, tunapoandika comments hasa kwenye hizi forums ambazo wakati mwingine muda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.