Recent content by Ndombwindo

  1. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Soma Ujumbe Mzito wa Barack Obama Juu Ya Kuwaheshimu Askari Wetu Waliojitolea Sadaka Maisha yao kwa Ajili ya Taifa Letu Ambao Hatuwezi Kulipa Deni

    Huyo ni mwanademokrasia nguli, sio yule mama yenu Nduli Samia bokassa.
  2. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Ama kweli CHADEMA ni mpango wa Mungu. Ona hili vibe la Ndato Rungwe CCM wakasome

    ...Mr. Kujitoa ufahamu...
  3. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Mama 2021 Maua mazuri sasa 2026 yamekauka

    Do you copy and paste this favorite comment of yours? a nonsensical fella.
  4. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Ethiopian Airlines Loses $137 Million Due to Middle East War

    How fascinating, seeing ET turning to ATCL likes, making significant losses.
  5. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Uingereza wasalimu amri

    Russia wins, Trump wins, and finally, the third world war is extinct.
  6. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Sio Gambo tu zaidi ya makada 200 wa CCM kuhamia CHADEMA hii ni kwasababu CCM imeparaganyika tangu Oktoba 29

    Artificial Intelligence kabisa hii, mafahari wawili wanawezaje kujifungia wenyewe tena kwenye zizi moja na mambo yakawa smooth tu.
  7. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Aliko Dangote ampongeza Samia kwa kuchaguliwa 29 Oktoba 2026

    Kwa mujibu wako, Haramu isipoharimishwa ni halali, matukio ya tarehe 29 ni ishara tosha ya wananchi kuharimisha zoezi zima la uchaguzi, hata hicho kiapo kilichofuatia kilifanyika katika mazingira tatanishi, kukidhi taratibu ambazo kiuhalisia ni extinct. Iweje ndoa halali ifanyike mafichoni...
  8. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Tumeipokea, tumeikubali Ripoti ya Jaji Chande, Tume imekiri yanayotusumbua kama Taifa

    Muungwana huchutama akidondokewa na msuli wake kuficha aibu, install grammar corrector, itakusaidia kunyoosha kimombo vizuri, Hapo kuna makosa zaidi ya matatu ya kiufundi. Ukikaza fuvu, kalaghabao.
  9. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Aliko Dangote ampongeza Samia kwa kuchaguliwa 29 Oktoba 2026

    Haram mantiki yake ni nini? kama wakatoliki wamehalalisha kitimoto kwa kupitia vifungu tatanishi haiwezi kuwafanya waislamu na wasabato pamoja na wana-agano la kale kufumbia macho huo uharam wa kitimoto. Katiba yenye loopholes za kukandamiza haki ni haram pia in the first place. Try to have the...
  10. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Wananchi washusha nondo nzito kupanda kwa bei ya mafuta. Kwa ujasiri huu walipaswa kuwa wabunge tu

    Sio ubunge pekee, kama huyo Ombeni alipaswa kupewa wizara kabisa.
  11. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Katoro Geita imeitika Wimbo wa Katiba mpya

    Mtungi wa ushuzi.
  12. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Kwa kiongozi huyu, Taifa litashuhudia maafa kila siku

    Yule wa kwetu Malawi alipaswa kuitwa Samia Amin Bokassa, ilo la Suluhu hana sifa, la Hassan ndio kabisa, tofauti kabisa na mzee wetu ruksa, mzee asiye na nongwa hata chembe, RIP mzee wetu ulipendwa na pande zote, tena kuna kipindi Nyerere alikuwa akimsimanga hadharani tena ana kwa ana kama...
  13. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania Nchi ya ajabu inakemea matusi inaacha kukemea ufisadi

    These individuals who have violated their sacred duty to the public deserve severe public backlash and contempt.
  14. Ndombwindo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwabukusi: Ofisi ya Msajili wa vyama vya siasa ni kirusi kwa demokrasia, imechangia vurugu za Oktoba 29

    Don't shoot the messenger; focus on the message.
Back
Top Bottom