Yule wa kwetu Malawi alipaswa kuitwa Samia Amin Bokassa, ilo la Suluhu hana sifa, la Hassan ndio kabisa, tofauti kabisa na mzee wetu ruksa, mzee asiye na nongwa hata chembe, RIP mzee wetu ulipendwa na pande zote, tena kuna kipindi Nyerere alikuwa akimsimanga hadharani tena ana kwa ana kama...