Recent content by Ndombe Mubele

  1. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Ule Wimbo nahic cjui wa Twanga pepeta Jina sikumbuki ila Kuna sehemu Wanaimba hv Iyee Nyama yao dada Umeondoka dada Umeniacha mkiwa Umeondoka wee umeniacha mkiwa Dada
  2. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Shukrani Mkuu Naomba na Huu Wimbo wa bongo fleva wa Zamani kama unao Wanaimba hv Mpenzi Nimekubali Uwe Wangu Maishani Wanacheza Wapige kelele wanga Wakichoka Waje wabwage manyanga
  3. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wakuu ndo nimekosea ule wimbo wa Msondo Ngoma Wanaimba Hivi Wala Usishangaee Wala Usishangaee Ukiona mtaani kwetu Kuna Sherehe Wawili wapendanao Wanafunga ndoa
  4. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba ule wimbo wa Msondo Ngoma wanaimba hv Wala usishangaee Wala Usishangae Ukiona mtaani kwetu Kuna Sherehe Wawili wapendanao Wanafunga Ndoa
  5. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huwa nafurahi sana Nyumbu zikipitia mateso kama Haya Huwa nafurahi sana
  6. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nautafuta huu wimbo Wanaimba Hivi kiitikio Baba na Mama Nipeni Demokrasia y Mapenzi Ooh
  7. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Chai
  8. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwahyo Nyumbu Mlikua mnadhani mtabeba kombe? Baada ya kufungwa na Villarreal fainali ya Europa De gea Alisema hii timu ni km Ina laaana ALIKUA SAHIHI
  9. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hii timu UNGA UNGA sana Aiseee Leo pengo la mbape limeonekana wazi kabisa mbape Huwa anaibeba sana timu ingawa ni UNGA unga
  10. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwahyo nyumbu na Nyie mnataka kwenda Nusu fainali. Na timu lenu hili c mtapata Aibu Kwa Athletic bilbao
  11. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Baada ya miaka 14 hatimaye Fid Q ameamua kumjibu Rado (usiulize) diss track

    Usiulize Bado Nimo Rado Namwaga Wino Uwezo na Kipaji havihusiani na Kimo Pembeni wananisaliti ila Moyoni Meal Nimo Nawaunguza Mmoja mmoja kirada Rado Toka Kino Hii ngoma ni balaaa + Ile Beat Kali ya Baucha Records
  12. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta ule Wimbl wa Twanga pepeta Kuna Sehemu Wanaimba hv Iyeee Nyama Yao dada Iyee Nyama Yao dada Umeondoka dada Umeniacha mkiwa Eeh Umeondoka Wee Umeniacha mkiwa Dada
  13. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Ndoa ya Manara na Zaiylisa yapumulia mashine. Zaiylissa amshambulia Manara kwa kutongoza watoto wadogo

    Hamna Kitu hapo Wenye akili tunajua manara anatafuta kiki Ili kuzima Habari ya Simba kwenda Nusu fainali
  14. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

    Miaka mingi Sana Imepitaa (Hua) Sauti nyingi sana Zimesikika (Aiii) D Knob ft Mez B
  15. Ndombe Mubele

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya jiji la Kampala

    Wale mademu sijui wako wapi hii ngoma ya janguu ninayo kwenye simu
Back
Top Bottom