Recent content by Ndombe Mubele

  1. Ndombe Mubele

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Naomba ule wimbo wa Msondo Ngoma wanaimba hv Wala usishangaee Wala Usishangae Ukiona mtaani kwetu Kuna Sherehe Wawili wapendanao Wanafunga Ndoa
  2. Ndombe Mubele

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Huwa nafurahi sana Nyumbu zikipitia mateso kama Haya Huwa nafurahi sana
  3. Ndombe Mubele

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nautafuta huu wimbo Wanaimba Hivi kiitikio Baba na Mama Nipeni Demokrasia y Mapenzi Ooh
  4. Ndombe Mubele

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwahyo Nyumbu Mlikua mnadhani mtabeba kombe? Baada ya kufungwa na Villarreal fainali ya Europa De gea Alisema hii timu ni km Ina laaana ALIKUA SAHIHI
  5. Ndombe Mubele

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hii timu UNGA UNGA sana Aiseee Leo pengo la mbape limeonekana wazi kabisa mbape Huwa anaibeba sana timu ingawa ni UNGA unga
  6. Ndombe Mubele

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kwahyo nyumbu na Nyie mnataka kwenda Nusu fainali. Na timu lenu hili c mtapata Aibu Kwa Athletic bilbao
  7. Ndombe Mubele

    Baada ya miaka 14 hatimaye Fid Q ameamua kumjibu Rado (usiulize) diss track

    Usiulize Bado Nimo Rado Namwaga Wino Uwezo na Kipaji havihusiani na Kimo Pembeni wananisaliti ila Moyoni Meal Nimo Nawaunguza Mmoja mmoja kirada Rado Toka Kino Hii ngoma ni balaaa + Ile Beat Kali ya Baucha Records
  8. Ndombe Mubele

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta ule Wimbl wa Twanga pepeta Kuna Sehemu Wanaimba hv Iyeee Nyama Yao dada Iyee Nyama Yao dada Umeondoka dada Umeniacha mkiwa Eeh Umeondoka Wee Umeniacha mkiwa Dada
  9. Ndombe Mubele

    Ndoa ya Manara na Zaiylisa yapumulia mashine. Zaiylissa amshambulia Manara kwa kutongoza watoto wadogo

    Hamna Kitu hapo Wenye akili tunajua manara anatafuta kiki Ili kuzima Habari ya Simba kwenda Nusu fainali
  10. Ndombe Mubele

    Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

    Miaka mingi Sana Imepitaa (Hua) Sauti nyingi sana Zimesikika (Aiii) D Knob ft Mez B
  11. Ndombe Mubele

    Maajabu ya jiji la Kampala

    Wale mademu sijui wako wapi hii ngoma ya janguu ninayo kwenye simu
  12. Ndombe Mubele

    Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

    Hii ajali nahisi imetokea Mwisho wa lami hapo Jeshini Wanakomalizia Ujenzi wa Mwendo Kasi Kuna foleni sana apo Asubui Hizo Gari Aina ya TATA za Chanika to M/complex zinakimbia balaaa na Huwa Hazisimami Hovyo na Abiria wa Chanika ndio tunazipenda kuliko hizi Coaster Ila hawa madereva...
  13. Ndombe Mubele

    Hivi mtu wa kawaida anatakiwa kunywa chai na vitafunwa vingapi?

    Binafsi nakulaga maandazi 4 au 5 ndio Huwa najisikia vizuri tena haya ya mia mia Chapati Huwa nakula 3 ndio nimeshazoea hvyo
  14. Ndombe Mubele

    Ni members gani huwapendi humu JF?

    Kina member linaitwa BUFA nalichukia sana lenyewe kila Uzi linataka ligi tuuu na Ubishani
Back
Top Bottom