Mbingu ijapo funguka kila mmoja akauona na kuujua uhalisia tutainamisha vichwa chini. Kila mamlaka iachwe ifanye kazi yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa lakini asikatishwe tamaa Makonda. Mm huamini mtu hadi afikie hatua ya kufanya jambo atakuwa amejipanga. Kufa ni sehemu ya maisha y etu. The City hunter inahusika.
Naomba kulijua suala la ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari hapa tz. Ktk wilaya x watumishi waumma wameambiwa kuchangia sh.10,000/= wakiwemo walimu ambapo mwenye jukumu la kuiongoza wilaya hyo kataka majina ya walimu wasotoa hyo pesa. Nini maana yake? Wakati hoja ilidai ni hiari, je,ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.