Kweli kazi ya ualimu ni wito

Kweli kazi ya ualimu ni wito

Hata wachawi naona wanajifunxiaga ulozi kwa walimu.
Kuna vijiji ukipangwa ni tabu tupu.
 
Mkuu dafu na ndimu,walimu wakiamua kuharibu generation kwa kuwafundisha wanafunzi wachukie kitu fulani itakuaje? Kwa mfano wakiwaambia wanafunzi kila siku nyie mnatakiwa mle chai na mkate tena wenye siagi,hamli kwa sababu watu fulani ndo wanasababisha na ndio adui zenu,unafikiri nini kitatokea? Tena kila siku wanafundisha hicho hicho,tafakari mkuu dafu na ndimu.
kumbuka muvi ya sarafina na uwezo wa mwalimu ktk hilo mkuu.usemayo ni kweli
 
Back
Top Bottom