Manento
Member
- Sep 19, 2016
- 29
- 27
Baada ya Tcra kuamua kuzifungia mawasiliano simu zote feki nchini Tanzania mapema mwezi june..ilikuwa jambo la busara ktk kupambana na bidhaa feki..ila utafiti uliofanywa na mwananchi wa kawaida na sio Twaweza umebaini simu karibu robo tatu ya zilizofungiwa zimeshafunguliwa na vijana wa pale kariakoo mtaa wa Aggrey na bado huduma hiyo inatolewa kwa Tsh 5000 tu mpaka kesho.