Recent content by Ndingwa

  1. Ndingwa

    Uhusiano kupata mimba mwanamke na kuumwa mwanaume kwa mda

    Mimi naona ni Chemistry kati yenu tu, kuna mabadiliko makubwa baina ya jinsia mbili zikiingiliana kimwili ikiwemo kuwepo kwa mfanano wa hisia. Sasa labda mke akiwa na ujauzito kutokana na nyinyi kuwa mwili mmoja na uwepo wa mapenzi ya kweli kati yao, hiyo hali inapelekea mwanaume kushare hisia...
  2. Ndingwa

    Wanafunzi wa Tanzania Aviation University College (TAUC) tunapeta tu baada ya Dreamliner kutua.

    Dah! Elimu ya urubani bongo ni maghumashi sana...imekaa kiupigaji tu.
  3. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    Hapana mkuu, tunaangalia na display ya kioo, ukitaka vya bei rahisi utapata kwa sh elfu tisini hata sabini lakini chenye display inayoeleweka lazima laki na 30 au laki na 40 lazima ikutoke.
  4. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    Eeeh na kweli kabisa na ndio sababu kubwa inayofanya hizi simu ziwe bei ghari sana, kutokana na mfumo wa uuzaji wa flagship phones
  5. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    Mara nyingi hiz 😂😂😂 unaweza lia ukichukua za miaka hiyo
  6. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    Jamaa kwa ujumla wako vizuri sana. Wanatoa kitu kilicho bora sana, kiulinzi, kimatumizi na kimvuto pia. Sizani kama kuna kampuni nyingine ya simu ambayo inafanya kazi kwa ueledi vile kwa ajili ya wateja wake. Labda simu za sony kwa mbali.
  7. Ndingwa

    TALA Tanzania ni Matapeli wa Mikopo ya mitandaoni

    Daah aisee ni balaa aseee natamani sana sheria za uhalifu wa kimtandao ziongeze nguvu na kasi ya kushughulikia hii mambo
  8. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    Bado mbona zinatengenezwa tu. Kwa sababu kama wangeacha tengeneza zingekuwa zishaisha. Lazima waendelee tengeneza kulingana na mhitaji
  9. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    😂😂 hapana hapo nimepigia hesabu pamoja na chaja 😂😂
  10. Ndingwa

    USHAURI: Moyo wangu umetekwa na mwanafunzi

    Ni kweli kabisa kuna mda hisia za kimapenzi zinampelekesha mtu pasipo hata yeye kujijua kama anakoelekea siko, ila kwa ushauri wangu achana na tamaa ya huyo binti, ikiwezekana kaa nae mbali tu angalau amalize hata shule tu ndo uje umweleze hisia zako kwake. Usiruhusu tamaa ya mda mfupi...
  11. Ndingwa

    Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

    Ni moja kati ya simu zenye uwezo mkubwa sana wa kusukuma mwenendo mzima wa katika kile unachokitaka katika simu, na kama ni mpenzi pia wa picha nzuri basi hapo napo utakuwa umefika, na kwa upande wa battery kukaa na moto inategemea tu na matumizi yako haswa kwa upande wa internet. Changamoto...
  12. Ndingwa

    4G ya Vodacom ndio mfano wa kuigwa.

    Mimi nipo hapa kijijini Mwanza na bado inasukuma vizuri tu mbona
  13. Ndingwa

    4G ya Vodacom ndio mfano wa kuigwa.

    Inategemea tu na eneo ulilopo
  14. Ndingwa

    4G ya Vodacom ndio mfano wa kuigwa.

    Hapa umenena mkuu 👍👍
Back
Top Bottom