Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 473
- 297
Mkuu mimi simu nazotumia huwa ni Apple,Xiaomi na Huawei basi..kwa sasa nimerudi Apple baada ya kutoka Xiaomi.Mkuu olseakwa hiyo ushatuhama kabisa team xiaomi
Mkuu mimi simu nazotumia huwa ni Apple,Xiaomi na Huawei basi..kwa sasa nimerudi Apple baada ya kutoka Xiaomi.Mkuu olseakwa hiyo ushatuhama kabisa team xiaomi
Kwaiyo anunue iphone 6 plus aache a30? Hizo specs za iphone 6 plus hazifui dafu kwa a30..Achana na Samsun itakusumbua.nunua iPhone

A30 ni simu ya mwaka huu 2019 wakati 6 plus ni ya 2015Umenivuruga kabisa mkuu, coz bado sijaamua ninunue ipi kati ya Samsung A30 na Iphone 6 Plus
Mwenye ushauzi plz
Anha kumbe hapo sawa mkuu pambaan na appleMkuu mimi simu nazotumia huwa ni Apple,Xiaomi na Huawei basi..kwa sasa nimerudi Apple baada ya kutoka Xiaomi.
Chukua A30 inasifa nzuri mno kuliko hiyo iphone 6Umenivuruga kabisa mkuu, coz bado sijaamua ninunue ipi kati ya Samsung A30 na Iphone 6 Plus
Mwenye ushauzi plz
A30 ni kiwango super Amoled display full hd+ ram gb 4 rom 64 gb memory card hadi 512gb bado features kibao kamera nzuri. Samsung for life never changeKwaiyo anunue iphone 6 plus aache a30? Hizo specs za iphone 6 plus hazifui dafu kwa a30..
Na hyo ips display sasa![]()
Bei yake sasa mkuu ?A30 ni kiwango super Amoled display full hd+ ram gb 4 rom 64 gb memory card hadi 512gb bado features kibao kamera nzuri. Samsung for life never change
Mpe mkeoWakuu nawashukuru sana kwa ushauri, hapa ndo natoka dukani kununua kitu Samsung A30. Iko charge now naisubira ijae nianze kuitumia.
Hii tecno yangu L9 sijui namuuzia nani sasa? Maana bado iko bomba sana sema nimeichoka tu



Hahaa Yeye ana Iphone mkuu. Me ndo nilikuwa nyuma tu kwenda na wakatiMpe mkeo![]()
Mi nimepata kwa 470k, iko na warrant ya 2 yrsBei yake sasa mkuu ?
Jamaa kwa ujumla wako vizuri sana. Wanatoa kitu kilicho bora sana, kiulinzi, kimatumizi na kimvuto pia. Sizani kama kuna kampuni nyingine ya simu ambayo inafanya kazi kwa ueledi vile kwa ajili ya wateja wake. Labda simu za sony kwa mbali.Aisee walijitahidi kutoa toleo lililodumu muda mrefu, tangu 2014.
Najaribu kulinganisha na simu zetu za tecno za 2014
Samsung nao wanajitahidiJamaa kwa ujumla wako vizuri sana. Wanatoa kitu kilicho bora sana, kiulinzi, kimatumizi na kimvuto pia. Sizani kama kuna kampuni nyingine ya simu ambayo inafanya kazi kwa ueledi vile kwa ajili ya wateja wake. Labda simu za sony kwa mbali.
Jamaa kwa ujumla wako vizuri sana. Wanatoa kitu kilicho bora sana, kiulinzi, kimatumizi na kimvuto pia. Sizani kama kuna kampuni nyingine ya simu ambayo inafanya kazi kwa ueledi vile kwa ajili ya wateja wake. Labda simu za sony kwa mbali.
Mie nAtaka mkuu six kama yako mkuu hebu niconnect ila hizi iphone zetu mbona zinakua cheaper Sana Jana nimemtuma mwanangu anichekie iphone 6plus naambiwa ni kama laki sita nini tofauti ipi au wachina hawa ndio walivyo zimekua refurbed
Mara nyingi hizMie nAtaka mkuu six kama yako mkuu hebu niconnect ila hizi iphone zetu mbona zinakua cheaper Sana Jana nimemtuma mwanangu anichekie iphone 6plus naambiwa ni kama laki sita nini tofauti ipi au wachina hawa ndio walivyo zimekua refurbed
😂😂😂 unaweza lia ukichukua za miaka hiyoSamsung nao wanajitahidi
Mfano galaxy s6 ni simu ya mwaka 2015 lakini mpaka leo inauzika sana tu lakini jaribu huawei ya mwaka huo au tecno,
Eeeh na kweli kabisa na ndio sababu kubwa inayofanya hizi simu ziwe bei ghari sana, kutokana na mfumo wa uuzaji wa flagship phonesUnaposema hv kumbuka pia iphone wanatoaga flagship tu kwahyo kiubora kukaa miaka yote hii sio jambo la ajabu!
Na Mimi nauliza: Hizi simu bado zinatengenezwa kiwandani au,ni zile zile za 2013 hazijaisha?
IPhone 6 ndo simu iliyouzwa zaidi