Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

Naomba kufahamu kuhusu simu za iphone 6

Samsung nao wanajitahidi
Mfano galaxy s6 ni simu ya mwaka 2015 lakini mpaka leo inauzika sana tu lakini jaribu huawei ya mwaka huo au tecno,
Yan useme "samsung anajitahidi"????????!Haupo serious mzeeeee
 
Ni moja kati ya simu zenye uwezo mkubwa sana wa kusukuma mwenendo mzima wa katika kile unachokitaka katika simu, na kama ni mpenzi pia wa picha nzuri basi hapo napo utakuwa umefika, na kwa upande wa battery kukaa na moto inategemea tu na matumizi yako haswa kwa upande wa internet. Changamoto kubwa tu ni kwa endapo itatokea umeiangusha kioo kikaharibirika, au ukaharibu charger basi jiandae tafta hela ya gharama za kununulia tecno y3 tatu ili iweze tengemara.
Si kweli, kioo cha iPhone 6 ni rahisi sometimes kuliko hata kioo complete cha Tecno, sim zenye garama kwenye kioo ni Samsung
 
Tunaangaliaje kuhusu hilo la life betri .mie ni team tekno ila nataka nichukue pia iphone kuongeza heshima ya himaya yangu mkuu
Azitengenezwi tena mkuu simu zinazotengeneza tena toka sept 2016 apple alivyotangaza iphone 7 zilizopo ni zile ambazo mtu ame upgrade kwenda 7 kwaiyo china wanazitengenezea jumba jipya refurbished phone mkuu simu zinazotengenezwa now 7 na kuendelea au ingia kwenye web yao utaona sim ambazo wanatengeneza zinakua kwenye display yao ila apple ndo product kama utapata nzuri basi utakaa usaau fundi simu maishani mwako kwenye ulimwengu wa smartphone nakushauri chukua 6s ndo nzuri zaidi mana itakua na uwezo wa kupokea os mpya 13 pia na kamera yake ni kubwa pia alafu apple wana option ya kuangalia life ya battery kabla ya kuchukua angalia ilo muhimu
 
Si kweli, kioo cha iPhone 6 ni rahisi sometimes kuliko hata kioo complete cha Tecno, sim zenye garama kwenye kioo ni Samsung
Hapana mkuu, tunaangalia na display ya kioo, ukitaka vya bei rahisi utapata kwa sh elfu tisini hata sabini lakini chenye display inayoeleweka lazima laki na 30 au laki na 40 lazima ikutoke.
 
Hahaa Yeye ana Iphone mkuu. Me ndo nilikuwa nyuma tu kwenda na wakati

Mmh sasa kama mkeo anatumia IPhone
si anao uzoefu na hizo simu
sasa ya nini kuja kuuliza watu coz humu unakutana na majibu mabaya mengine ya kubeza
au haumwamini mkeo ktk ushauri?
Anyway
Iwapo ungenunua IPhone 6 kama 6
ingekula kwako
coz Apple wamesema hizo simu hutaweza tena kupata ios ya 13
bali kuanzia ya 6s na kuendelea yaani 7, 8, n.k
hivyo umefanya uchaguzi mzuri
Ila next time muulize mkeo kuliko kukimbilia humu
JF ina kila aina ya watu na majibu yao
 
Kwenye setting mkuu kuna option ya bettry then utaona %

Then unaingia kwenye bettery healthy
IMG_5492.JPG
IMG_5493.JPG
 
Kama unataka simu kwa ajili ya urembo chukua apple lkn kama unajua unataka simu kwa ajili ya kipigia kazi mtaani na kutukia app nyingi tafuta Android hasa samsung kiliko apple.Kuna samsung series za A10,20,30,40,50 pia kuna m20.... hatari
Vipi A10 nasikia ni 290k mkuu. Halafu nahitaji kuvuta hiyo. Vipi mbona wananichanganya ukilinganisha bei yake na specifications zake. Kuna tatizo mkuu au wameamua tu..
 
Binafsi yangu napenda utofauti kwa sasa mie upande wa android ni xiaomi ila niliwahi tumia iphone pia miaka ya nyuma .hawa jamaa wana heshima yake nataka nichukue tu kwa ajili kulinda heshima
Vipi A10 nasikia ni 290k mkuu. Halafu nahitaji kuvuta hiyo. Vipi mbona wananichanganya ukilinganisha bei yake na specifications zake. Kuna tatizo mkuu au wameamua tu..
Screenshot_2019-08-13-11-37-26-584_com.android.settings.jpeg
 
Binafsi yangu napenda utofauti kwa sasa mie upande wa android ni xiaomi ila niliwahi tumia iphone pia miaka ya nyuma .hawa jamaa wana heshima yake nataka nichukue tu kwa ajili kulinda heshimaView attachment 1180156
Dah safi sana mkuu. Vipi hizi zinapatikana au ndo hadi kuagizia online. Hii mi7 bei yake imesimamaje kwa sasa.
 
Mkuu dunia ni kama kijiji unaagiza tunaagiza tu online zinatufikia .Now zimeshuka mkuu mie niipata wiki ya pili tu baada ya kutoka .nw ni Around 275 -300 Kutegemea na colour na gb
Dah safi sana mkuu. Vipi hizi zinapatikana au ndo hadi kuagizia online. Hii mi7 bei yake imesimamaje kwa sasa.
 
Mpya 400 kamili..simu peke yake bila chochote(Accessories) unaipata kwa 380,nimekupa bei za Kariakoo sehemu nyingine inaweza kuwa tofauti.
Kariakoo duka gani mkuu🙏
 
Back
Top Bottom