USHAURI: Moyo wangu umetekwa na mwanafunzi

USHAURI: Moyo wangu umetekwa na mwanafunzi

Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.

Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.

Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.

Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.

Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.

Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.

Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.

Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
Naamini haujavuka miaka 25
 
Ndugu RTI, si umesema huyo binti unamuona kama mdogo wako! sasa iweje ume develop lust kwa mdogo wako, mmana hicho ikisemacho sio LOVE ni LUST! Hakika nakuambia ukimalizana na huyu binti, kesho utakuja JF kuomba ushauri wa kuepuka kumtongoza huyo mdogo wako anayesoma...waswahili tunasema " Ukiheshimu mke, ndugu hutomtamani"...kwenye kitabu cha Things fall apart kunasehemu jamaa anaambiwa....." that boy who calls you father, do not share the hand in his death..." jamaa hakusikia. yaliyompata.....nami nikinakiri maneno hayo nakuambia...."that girl who calls you brother, do not dare approach/seduce her....."
 
Mara nyingi huwa tunajadili hapa kuwa wanaofungwa kwa kutembea/kuwapa ujauzito wanafunzi wanaonewa sana ila kuanzia leo inabidi nianze kuunga mkono juhudi za mahakama kuwafunga wapuuzi kama nyie.Yani hizo hormones umeshindwa kabisa kuzi-control?.Hapo hakuna cha kumpenda zaidi ya tamaa yako ya ngono tu ndo inayokupeleka puta."Eee mungu baba,naomba huyu mdau mpuuzi ampe mimba mwanafunzi kisha afungwe.Pokea maombi yangu eee baba.AMINA"
Mdau we we
Mara nyingi huwa tunajadili hapa kuwa wanaofungwa kwa kutembea/kuwapa ujauzito wanafunzi wanaonewa sana ila kuanzia leo inabidi nianze kuunga mkono juhudi za mahakama kuwafunga wapuuzi kama nyie.Yani hizo hormones umeshindwa kabisa kuzi-control?.Hapo hakuna cha kumpenda zaidi ya tamaa yako ya ngono tu ndo inayokupeleka puta."Eee mungu baba,naomba huyu mdau mpuuzi ampe mimba mwanafunzi kisha afungwe.Pokea maombi yangu eee baba.AMINA"
Ndugu Mimi ni mtu mzima kwahiyo hiyo jera ninaijuwa kwamba ipo pale utakapo mpa mimba mwanafunzi.
Wapo wengi wana uhusiano na wana funzi lakini hawajaenda jera kwa hiyo Mimi siyo mpumbavu kiasi hicho eti nimpe mimba ili niende jera, lakini Mimi nimekupa sababu nyingine zaidi ya kwenda jera zinazo nifanifanya kusita kufanya hivyo.
Lakini pia unapo sema eti ni tamaa ngono unakosea kwasababu ningekuwa hivyo nisinge kuja kukuomba ushauli wa kumuepuka hiyo binti.
 
Ndugu RTI, si umesema huyo binti unamuona kama mdogo wako! sasa iweje ume develop lust kwa mdogo wako, mmana hicho ikisemacho sio LOVE ni LUST! Hakika nakuambia ukimalizana na huyu binti, kesho utakuja JF kuomba ushauri wa kuepuka kumtongoza huyo mdogo wako anayesoma...waswahili tunasema " Ukiheshimu mke, ndugu hutomtamani"...kwenye kitabu cha Things fall apart kunasehemu jamaa anaambiwa....." that boy who calls you father, do not share the hand in his death..." jamaa hakusikia. yaliyompata.....nami nikinakiri maneno hayo nakuambia...."that girl who calls you brother, do not dare approach/seduce her....."
Ushauri mzuri nitauzingatia.
 
Kama kichwa cha habari kinavyo sema,nimetokea kumpenda binti mmoja ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili.

Binti huyo tulianza kuonana pale alipokuja anauza vitumbua kwenye kijiwe ninacho fanyia kazi miaka miwili iliyopita,basi kuanzia kipindi hicho nikawa mteja wake wa vitumbua.

Nimekuwa nikimchukulia kama mdogo wangu na ananiheshimu kweli kama kaka yake,lakini Siku za hivi karibuni nimejishangaa naanza kumpenda huyo binti,kingine pamoja na ujuwaji wangu wote lakini Siku hizi tukikutana huwa ninakosa ujasiri.

Kiukweli Mimi huyo binti sishindwi kumpata lakini nina sita sana kwa sababu kati ya kitu ambacho sikipendi ni kuwa ana uhusano na mwanafunzi.

Sio kwamba ninaogopa jera pekee hapana,lakini na mimi nina wadogo wangu wa kike nao wana soma kama huyo binti.

Kuna msemo mmoja unasema usimtendee wenzio jambo ambalo we we hutaki utendewe,na ni kweli Mimi nimekuwa nikiwasihi wadogo zangu kuepukana na hayo mambo wakiwa bado ni wanafunzi.

Lakini kila nikijitahidi kujitoa kwenye huu mtego ninashidwa,huwezi amini eti kuna kipindi huwa ninakosa usingizi kwa sababu ya huyo binti.

Ninaamini jf kuna watu mbalimbali wenye uwezo wa kunishauri ili niondokane na huu mtego wa mapenzi.
Ni kweli kabisa kuna mda hisia za kimapenzi zinampelekesha mtu pasipo hata yeye kujijua kama anakoelekea siko, ila kwa ushauri wangu achana na tamaa ya huyo binti, ikiwezekana kaa nae mbali tu angalau amalize hata shule tu ndo uje umweleze hisia zako kwake. Usiruhusu tamaa ya mda mfupi ikakupeleka kwenye shimo la chatu.
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Madenti wanaliwa sana..hawa bodaboda,madereva daladala,madereva Bajaji,vinyozi kwenye hizi saluni..hiyo ni kwa uchache lakini mbaya zaidi wanaliwa pia na watu wa karibu..uncle,baba mdogo,Mjomba..tena hawa ndio balaa kwakua anaweza akawa anamla humo humo ndani msijue..

Na ukishaanza kula wanafunzi huachi..trust me! Acha kabisa na mwili wa binti ambaye ndio amevunja ungo na mwili umekubali..kuanzia kifuani mpaka kwenye nyonga ni balaa tupu..anyways mwisho wa siku ni inshu mbaya sana kudate na mwanafunzi..mwache asome.
 
Ni kweli kabisa kuna mda hisia za kimapenzi zinampelekesha mtu pasipo hata yeye kujijua kama anakoelekea siko, ila kwa ushauri wangu achana na tamaa ya huyo binti, ikiwezekana kaa nae mbali tu angalau amalize hata shule tu ndo uje umweleze hisia zako kwake. Usiruhusu tamaa ya mda mfupi ikakupeleka kwenye shimo la chatu.
Ushauri mzuri nitauzingatia.
 
Back
Top Bottom