Butiku anatumia jina la mwalimu Nyerere kama kitega uchumi!! Hana hadhi na ndio maana kwa ubadhirifu wake taasisi ya mwalimu Nyerere ilinyang’anywa usimamizi wa usuluhishi wa mgogoro wa Burundi!! Huyu Mzee hafai hata nusu.
Ujinga ule ule wa babu zake enzi za “Maji Maji” kuwa risasi za wazungu zingegeuka maji hivyo wasingekufa!
Lakini kwa Pole pole kama wamemuua, Mzee Butiku atabeba huo msalaba mpaka atakapoingia kuburini. Butiku kwa kumuuza Humphrey kwa vipande vya fedha toka kwa Samia , amesaliti ukombozi wa nchi!
He could only maintain his garden while in office because he was awosh with easy money! After retirement the place could go to waste!
Do you think his children will be able to maintain the place after he is gone?
Ndio mambo ya Mobutu hayo!!!
Acheni uchawa, kuna shamba gani na vijumba vya kuigwa hapo?
Hapo ndio kwao Buhigwe au hapa hapa Dar?
Ukitaka mashamba ya mfano nenda kwa Prof. Mwandosya kule Busokelo!
Nakubaliana na wewe kuwa Huyu Butiku sio mtu wa kumuamini kwani anatumia taasisi na jina la Nyerere kama kitega uchumi chake , na hana credibility tena kwa wa Tanganyika! Sio Siri kuwa kumsaliti Kwake Humphrey Polepole ni pigo kubwa sana kwa wazalendo wa nchi hii. Hata akatae vipi ukweli...
Marehemu Mzee Mtei ni mfano wa kuigwa na vijana wa nchi hii kwa misimamo ya kupigania ukweli na mapenzi kwa nchi yake na huo ndio uzalendo!!
Vijana mkiendekeza “ uchawa” mnaofanya kwa Samia matokeo yake ni nchi kuzorota na hivyo kugawanyika kwa misingi ya kidini na kiasili hivyo kuwa rahisi...
Huyu mzee anatumia jina la Nyerere kwa manufaa yake binafsi hafai hata kupewa audience ya kuzungumza! Huyu ni mnafiki na muuaji inapendeza kama hiyo taasisi itamstaafisha! Hana hadhi tena kwa jamii ya wa Tanganyika. Huyu mzee ni mamluki na ni Kweli alimsaliti Polepole na ndio maana sasa anaweweseka.
Alikwisha sema kitambo kuwa aliingia madarakani kwa mtutu hawezi Kuondolewa kwa karatasi!
Hicho wanachofanya ni maigizo tu kuwahadaa wananchi na international community!
Huyo mwanasheria mkuu yupo hapo kumdanganya Samia ili aonekane nae anafanya kazi kumbe ni boya!
Hajui kabisa utaratibu wa extradition kutoka marekani!!
Ubalozi wa marekani itabidi uhakikishe kwanza kuwa hiyo kesi siyo ya kubumba!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.