Recent content by Ndinani

  1. N

    Hili la watu (wakiwemo viongozi) kudhalilishwa na Watanzania kufurahia linanishangaza sana

    Mange hata siku moja hakuwahi kumtukana Kikwete!! Marehemu Kimambi baba yake mzazi Mange alikuwa rafiki wa karibu sana wa Kikwete hivyo Kikwete kwa Mange alikuwa baba yake! Kama unao lete ushahidi wa Mange akimtukana kaka wa Msoga!
  2. N

    Paul Christian Makonda, the terminator, the true leader

    Majangili ya nchi hii wamebaki Kikwete, Kinana na Rostam Aziz. Wanatumia ccm kama kinga!!
  3. N

    TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

    Nia yao ni kuangamiza kizazi hiki cha watoto wetu na hivyo kama usemavyo njia moja wapo ni kwa kutumia mbegu na vyakula!! Ukisha waharibu watoto wa shule ujue ndio umeharibu nguvu kazi ya nchi na maendeleo yake! Nchi yeyote kama France inayoongozwa na Mashoga itakuwa na matatizo kila leo...
  4. N

    Uteuzi na Utenguzi: Paul Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha. Ndalichako aondolewa uwaziri

    Hivi huyu Mama Abdul anafahamu financial implicatio to the budget hii panga pangua yake ya kila kukicha? Anatuumiza wananchi kwa kukosa umakini kwake!
  5. N

    TBS: Mchele, mafuta ya kupikia ya alizeti na maharage kutoka Marekani, ni Salama kwa Walaji

    Hivyo virutubisho vinatengenezwa na MONSANTO kampuni ijulikanayo kwa kutengeneza genetically modified foods! Target yao ni wanafunzi ambao muda si mrefu wataanza kufanya mapenzi ya jinsi a moja kwasababu hormones zao zitakuwa z imebadilika’!! Halafu mtaanza kutafuta mchawi kumbe nyie ndio...
  6. N

    Benki Kuu ya Tanzania yatoa Taarifa kuhusu Wizi katika Sekta ya Benki, miamala ya simu yaongoza kwa wizi

    Mwigulu anasema kila akipita anaona magari mengi yenye namba za “E” , kwake hiyo ni ishara ya maendeleo ya nchi!! Hajui kuwa fedha hizo wanazonunulia magari zinatokana na wizi kwenye mabenki na sio kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji!
  7. N

    Wizara ya Fedha: Tanzania ipo kwenye viwango vizuri vya kuendelea kukopesheshwa kati ya nchi chache

    Kutegemea mikopo sio sifa nzuri kwa nchi ambayo ina uwezo wa kujitegemea kutokana na kuwa na rasilimali za kutosha!! Ni aibu iliyoje.
  8. N

    Dkt. Hussein Mwinyi adai Mzee Mwinyi hakuagiza azikwe Mkuranga

    Na huyu aliyewahi kuwa mbunge wa Mkuranga ni Mzanzibari au Mtanganyika?
  9. N

    Rais Ruto adai Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakubaliana kumuunga mkono Odinga kuwa Mwenyekiti wa AU

    Nadhani amewatuma chawa wake wapime upepo! Ndio maana alijichomeka kwenye delegation iliyokwenda kwenye mazishi Namibia ili apate wasaa wa kuonana na viongozi wa Sadc!!
  10. N

    Rais Ruto adai Wakuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakubaliana kumuunga mkono Odinga kuwa Mwenyekiti wa AU

    Atawawakilisha wapi kama viongozi wote wa East Africa wamekubaliana? Mkwere aache tamaa hatosheki tu!
  11. N

    Makonda: Sekta ya Ardhi imejaa Dhulma, Unyang'anyi na Hati Feki

    Jerry Slaa anajitahidi kujaribu kutatua haya matatizo ya ardhi lakini peke yake hawezi kwani watendaji wa hiyo wizara wamelelewa kudai rushwa.!! Hata hivyo kitendo cha kuvunja nyumba huko wilaya ya Kinondoni ni kitendo cha haki ambacho kinataliwa kiendelezwe kuwa fundisho kwa wale wenye fedha...
  12. N

    TANZIA Balozi Dkt. Deodorus Kamala afariki dunia

    Unataka tuwaombee viongozi wanaozunguka dunia huku wanatuacha na njaa halafu wanataka kuongeza TOZO ili wanunue ndege nyingine wakati mwendokasi iko hoi! You nics whose interests are you serving in parliament?
  13. N

    Bunge laazimia Serikali inunue ndege nyingine kwa ajili ya kuhudumia viongozi

    Hawa wabunge wapo hapo kuwakisha shida za wananchi au Mano wanayotaka wao? Ununuzi wa ndege kwa matumizi yao je ni kipaumbele wakati wananchi wanalia na ugumu wa maisha?
  14. N

    Jakaya Kikwete: Lowassa alipopata changamoto na kukaa pembeni, tuliendelea kuwa Marafiki

    He is naive, he cannot read the politics of Kyela. Let him spend his ill gotten loot ; it will be a curse for Kyela people to allow a spent force to be their MP when there are many young men/ women who can do a better job than Mwakyembe!
Back
Top Bottom