Mange hata siku moja hakuwahi kumtukana Kikwete!! Marehemu Kimambi baba yake mzazi Mange alikuwa rafiki wa karibu sana wa Kikwete hivyo Kikwete kwa Mange alikuwa baba yake!
Kama unao lete ushahidi wa Mange akimtukana kaka wa Msoga!
Nia yao ni kuangamiza kizazi hiki cha watoto wetu na hivyo kama usemavyo njia moja wapo ni kwa kutumia mbegu na vyakula!!
Ukisha waharibu watoto wa shule ujue ndio umeharibu nguvu kazi ya nchi na maendeleo yake!
Nchi yeyote kama France inayoongozwa na Mashoga itakuwa na matatizo kila leo...
Hivyo virutubisho vinatengenezwa na MONSANTO kampuni ijulikanayo kwa kutengeneza genetically modified foods!
Target yao ni wanafunzi ambao muda si mrefu wataanza kufanya mapenzi ya jinsi a moja kwasababu hormones zao zitakuwa z imebadilika’!! Halafu mtaanza kutafuta mchawi kumbe nyie ndio...
Mwigulu anasema kila akipita anaona magari mengi yenye namba za “E” , kwake hiyo ni ishara ya maendeleo ya nchi!! Hajui kuwa fedha hizo wanazonunulia magari zinatokana na wizi kwenye mabenki na sio kutokana na kuongezeka kwa uzalishaji!
Nadhani amewatuma chawa wake wapime upepo! Ndio maana alijichomeka kwenye delegation iliyokwenda kwenye mazishi Namibia ili apate wasaa wa kuonana na viongozi wa Sadc!!
Jerry Slaa anajitahidi kujaribu kutatua haya matatizo ya ardhi lakini peke yake hawezi kwani watendaji wa hiyo wizara wamelelewa kudai rushwa.!!
Hata hivyo kitendo cha kuvunja nyumba huko wilaya ya Kinondoni ni kitendo cha haki ambacho kinataliwa kiendelezwe kuwa fundisho kwa wale wenye fedha...
Unataka tuwaombee viongozi wanaozunguka dunia huku wanatuacha na njaa halafu wanataka kuongeza TOZO ili wanunue ndege nyingine wakati mwendokasi iko hoi!
You nics whose interests are you serving in parliament?
Hawa wabunge wapo hapo kuwakisha shida za wananchi au Mano wanayotaka wao?
Ununuzi wa ndege kwa matumizi yao je ni kipaumbele wakati wananchi wanalia na ugumu wa maisha?
He is naive, he cannot read the politics of Kyela. Let him spend his ill gotten loot ; it will be a curse for Kyela people to allow a spent force to be their MP when there are many young men/ women who can do a better job than Mwakyembe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.