Na kuna watoto nao wapo hapo hapo wanashuhudia mambo haya. hili ni darasa lao la mwanzo kabisa katika maisha yao.
Ila inanibidi kidogo nikushangae wewe kwa hilo swali la mada yako. Bado huamini kuwa tumefika huku?; wakti kila siku humu humu Jf tunayashuhudia yote haya?
Kuna lipi jipya hapa, mkuu 'Mshana' ambalo ni tofauti na haya?
Sasa nakutahadharisha ujiweke tayari kwa yatakayofuata endapo waTanzania watamwachia Samia aendelee na mambo yake haya.
Akina Ritz na Tlaatlaah, Kaitan na wengine humu wanaitangazia vita kila siku TEC. Hawa hawatanii hata kidogo.