Chama cha Wafanyakazi kikifika mahala kikawa na uimara wa kiuchumi na kikawa na viongozi wa kusimamia vizuri huwa tishio kwa Serikali,! Hapa hoja siyo kwann Walimu wanakatwa suala ni hofu kwa Serikali iwao cwt itasimama vizuri kiuchumi!
Usiwe mjinga wewe, waache kushughulikiwa wavamizi wa vituo vya habari na studio na mitutu, watekaji nyara watu na kujinasibu kabla ya ck fulan watapatikana na kweli inakuwa hivo, wanaamrisha watu kuwatolea bastola hadharani na hawafanywi chochote, leo unakuja na upimbi wako eti Gwajima...
Kwanza mimi co Dada, pili cdhani km ni Mwenyekiti wako saana lbd utakuwa umetumwa na wanalumumba tu, ungelijua ameplay role gani mpk Chadema ikasimama mpk hapa ilipo leo usingeweza kuongea huo upuuzi....
Jamani mtu akipost ujinga kama huyu dawa ni kukaa kimya tu! Ku comment ni kumpa bichwa lkn km hakuna comment hata moja atajijua kama ni Bashite type kesho hatorudia tena!
Heh! Ckujua kama Fred Mpendazoe kuna wakati anakuwaga mpuuzi wa kiasi hiki, mbona huwa uko makini na machapisho yako yanakuwaga ya akili umepatwa na nini Mzee...?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.