Rais anataka kuwahadaa wafanyakazi

Rais anataka kuwahadaa wafanyakazi

Rais aliuliza hizo fedha 2% zinaenda wapi??
swali hilo hilo liliwahi kuulizwa na walimu wenyewe.Kumbuka kuwa hata Rais alikuwa mwalimu.
Kwahiyo anaenda kuulizia uwanjani? Alijibiwa?
 
Chama kinatetea wote kwa usawa na hakuna mwanachama bora kuliko mwingine.sasa iweje wengine walipe mchango mkubwa kuliko wengine? Kwa hiyo2% kuna wanaolipa 60000/- kila mwezi,wengine 32000/- wengine 12000/- huu ni wizi?pia vipo vitega uchumi ambavyo sisi wanachama hatufaidiki navyo.Namshukuru rais hata kwa kile alichochokonoa.tunamwomba aingilie kwa undani zaidi suala hili.CWT ni kitengo cha kupunguza mapato ya mwalimu(kinyonyaji).Wanadai Mishahara WA mwalimu ni mdogo huku wao wakizidi kuupunguza.waoneshe mfano kwa kuondoa hiyo 2% sio kupiga kelele za kinafiki.
 
Cwt na vyama vingine kwani vinasaidia nini zaidi tu ya kuhadaa wafanyakazi. Kama kweli wao ni watetezi hawaoni walimu hawana nyumba,mishahara midogo,hawapandishwi madaraja kwa wakati,na mikataba inakiukwa mf.15% kwa wasiohusika. Cwt imefanya nini zaidi ya kula 2% za mishahara ya walimu.
Usitumie walimu kama case study yako, wapo wengi tu watumishi wa serikali wana mishahara midogo chini hata ya walimu na hawana nyumba wala posho lakini ni wanachama wa TUCTA
 
Chama cha Wafanyakazi kikifika mahala kikawa na uimara wa kiuchumi na kikawa na viongozi wa kusimamia vizuri huwa tishio kwa Serikali,! Hapa hoja siyo kwann Walimu wanakatwa suala ni hofu kwa Serikali iwao cwt itasimama vizuri kiuchumi!
 
Chama cha Wafanyakazi kikifika mahala kikawa na uimara wa kiuchumi na kikawa na viongozi wa kusimamia vizuri huwa tishio kwa Serikali,! Hapa hoja siyo kwann Walimu wanakatwa suala ni hofu kwa Serikali iwao cwt itasimama vizuri kiuchumi!
Wanyonyaji tu hawana la maana!
 
Chama cha Wafanyakazi kikifika mahala kikawa na uimara wa kiuchumi na kikawa na viongozi wa kusimamia vizuri huwa tishio kwa Serikali,! Hapa hoja siyo kwann Walimu wanakatwa suala ni hofu kwa Serikali iwao cwt itasimama vizuri kiuchumi!
CWT tayar imeshasimama kiuchumi na tishio namba moja kifo cha nmb
 
Chama kinatetea wote kwa usawa na hakuna mwanachama bora kuliko mwingine.sasa iweje wengine walipe mchango mkubwa kuliko wengine? Kwa hiyo2% kuna wanaolipa 60000/- kila mwezi,wengine 32000/- wengine 12000/- huu ni wizi?pia vipo vitega uchumi ambavyo sisi wanachama hatufaidiki navyo.Namshukuru rais hata kwa kile alichochokonoa.tunamwomba aingilie kwa undani zaidi suala hili.CWT ni kitengo cha kupunguza mapato ya mwalimu(kinyonyaji).Wanadai Mishahara WA mwalimu ni mdogo huku wao wakizidi kuupunguza.waoneshe mfano kwa kuondoa hiyo 2% sio kupiga kelele za kinafiki.
Kinacho katwa sawa ni 2% na siyo 2%ya ngapi ni ngapi!!!!uelewa wako wa maana na matumizi ya %unatiliwa mashaka sana.
 
NASHUKURU MIMI NAKATWA 1% NA CHAKAMWATA since april poleni mnaokatwa asilimia 2 na cwt
 
Juzi kwenye sherere ya wafanyakazi amesema cwt kwa nini inawakata walimu asilimia mbili mimi nauliza kuna chama cha wafanyakazi ambayo haiwakati waganyakazi wake?

Walimu kupitia hiyo asilimia mbili wameweza kuwa na benki na wanataka kusimama na kuwa na nguvu je wengine wamefanya nini cha maana?

Tucta ni shirikisho la vyama vya wafanyakazi ambapo wanachangia vyama hivyo vinachangia kwa shirikisho.

Rais amefanya kosa kubwa kuwaandama cwt je wengine wamefanya nini mbona hata nyumba hawana aache wivu au kwa kuwa wameanzisha benki anaona nongwa?

kwa hiyo imani yangu anajua hakuna chama cha wafanyakazi isikata wafanyakazi wake ila kaamua kuwashambulia kwa sababu anayojua.

Kama kuna chama wafanyakazi haiwakati wafanyakazi wake basi tujue karibuni wanajamvi
 
Kinacho katwa sawa ni 2% na siyo 2%ya ngapi ni ngapi!!!!uelewa wako wa maana na matumizi ya %unatiliwa mashaka sana.
Acha ujinga soma sio kubaka maoni ya wengine.makato ya 2% yanatofautiana kati ya MTU na MTU.mfano MTU anayepata basic salary tshs 600000,2% yake ni 12000/-yule anayepata 2400000, 2% yake ni 48000/- huo ndio utaratibu wa makato ya CWT.sasa hoja ni kwanini kuwepo na tofauti wakati status ya wanachama ni sawa kiutaratubu?je wanaolipa zaidi wanafaidi kuliko wenzao? Huu ndio wizi tusiotaka.chama kingeweza kikaweka utaratibu kuwa mchango WA mwanachama uwe na kiwango sawa kwa wanachama wote .kumbuka hata wakati walipovgawa hisa za ile benki kila mwanachama alipewa hisa za tsh 50000/- na hawakuzigawa kulingana na kiwango MTU anachochangia.
 
Back
Top Bottom