Siku baba yangu mzazi anafariki usiku mbwa walikua wanalia sana mpaka mdogo wangu akawa analalamika kua hawa mbwa c kawaida kulia hivyo usiku huohuo baba yangu alifariki Rip my dady
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.