Jambo hili hata mim huwa siliamin kabisa ni bora maswali yangekua ya kuchagua lakin Mara nyingi mitihani yao tunaona ni ya kutoa maelezo majibu yanatoka ndani ya saa24 watu zaid ya buku, sina iman kabisa na ufanis wao katka hili
Unachukua vyeti vyako orijino unaenda kutoa kopi, baada ya hapo unaenda mahakani au kwa mwanasheria kugonga muhuri (cetify) hizo kopi, then unascan kopi ya vyet orijino ulivyocetify ndio hivyo unavituma
Sheria ya kazi inakupa mfanyakazi likizo ya ugonjwa ya siku 126,
Siku 63 za kwanza utalipwa mshahara wako kamili, na siku 63 za mwisho unalipwa nusu mshahara wako
Baada ya kipind hicho kama utashindwa kurud kazin mwajir i anaweza kukuondoa kazini kwa sababu hiyo ya Ugonjwa na kukulipa malipo...
Kuoboresha zaid ushauri wako kama anamaanisha kweli apite mandera road kuanzia hapa Riverside kuna kiwanda cha unga kama sikosei, Pia Gereji kuna kiwanda aende had buguruni kuna viwanda kibao miaka miwil nyuma ilikua elfu4 had5 kwa siku, na ekf7 ukiingia usiku, awahi mapema kabla ya saa2 asubuh
Nafikili mleta uzi ungekuwa wazi unalinganisha Iringa na Shinyanga kwa kigezo kipi, lakin hii mikoa haiendan Iringa ni zaid
Labda yaweza kufanana kwa uchangia wa pato la taifa Shinyanga kuna migodi na Iringa kuna wilaya ya Mufindi ambayo inachangia pato kubwa kwa sababu ya uwepo kilimo cha...
Nafikili tumpe muda muda Dereva wetu ni ugeni tu wa njia atatulia vizur barabaran labda atatufikisha safari yetu, we si unaona anavyojinad kuA Dereva ni yeye tu Tanzania, anataka hata kupinga madereva waliomtangulia waliofanya kampuni hiyo ifike hapo ilipo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.