Ha ha ha mkuu,nimechombeza tu. Maana haijawekwa bayana.Hahaha,
Mkuu unadhani mtwara inatoshana na Nani?
Ha ha ha mkuu,nimechombeza tu. Maana haijawekwa bayana.Hahaha,
Mkuu unadhani mtwara inatoshana na Nani?
Hata mimi nimeshangazwa na huo mzunguko pale Uhindini Dodoma. Hii yote ni kwa faida ya nani?Kadagala 1 hapo kuna picha za Mwanza,
Na hii post ya pili kuna picha ya Dodoma,
Hebu epuka kuwa mkurupukaji.
Post sent using JamiiForums mobile app
Yeah,hii ni Iringa real,siyo ile aliyotuma mdau kwa uongo.Barabara ipi nyembamba mkuu,
U mean this one?
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 543686View attachment 543688
Post sent using JamiiForums mobile app
Wewe hujaongea kishabiki mkuuShinyanga ilidumaa baada ya kilimo cha pamba kufa , kifo cha shirika la reli , mikataba mibovu ya madini na kukosa elimu ya kutumia mifugo yao kujiendeleza. Ukame na mambo ya ushirikina vimeichelewesha sana Shinyanga.
Iringa panazidi kuendelea kwa kasi kwa sababu ya kilimo cha miti , chai , hali nzuri ya hewa , reli ya Tazara ( ingawa si kwa kiwango cha juu lakini imekuwa ikiendelea kipindi ambacho reli ya kati ilisitisha huduma zake ) , ni njia pia inayosafirisha mizigo kwa njia ya barabara kuelekea nchi za Zambia , Congo na Malawi.
Mambo ambayo wanashabihiana watu wa Iringa na Shinyanga uchapaji wa kazi.
Post sent using JamiiForums mobile app
Moshi pia inasubiri kwa IringaIRINGA IS THE BEST CITY CAN COMPETE WITH MOSHI
We nae ni zwazwa hizo picha ilizoweka hapo zote ni za Shinyanga au ni kiki?Kadagala 1 hapo kuna picha za Mwanza,
Na hii post ya pili kuna picha ya Dodoma,
Hebu epuka kuwa mkurupukaji.
Post sent using JamiiForums mobile app
Yeah iringa ina vyuo vikuu vitatu mkwawa university, iringa university pamoja na Ruaha catholic university. ..sasa njoo shinyanga unitajie chuo kikuu kimojawapoMkuu sema pale kwenye vibanda vya ccm, yote ccm ile.
Ila kiuhalisia huwezi linganisha Shinyanga na Iringa. Iringa iko more decent kulinganisha na Shinyanga.
Hapana,hata Morogoro bado Iringa inapitwa. Unajua miji yetu hii ya size ya kati haipishani sana. Yaani Iringa,Mtwara,Morogoro,Kigoma,Moshi,Dodoma. Zipo factor zinazotofautisha lakini siyo kwa kiwango kikubwa.nafikiri Iringa inatakiwa kulinganishwa na Dodoma. hapo itakuwa fair kidogo. dodoma itakachoizidi iringa ni yale majengo ya bunge tu. vingine vyote wako sawa.
Kweli kabisa watu huwa wanaenda kuburudika MWANZA au KAHAMA. Ila Shinyanga ni mji MKUBWA kuliko Iringanimeshaishi iringa sana, nimeishi pia shinyanga, lakini ajabu yake, sikuona kama pale shinyanga kuna hata mji, ni kijiji, pamepoaaa kama mji wa wachawi, na nilipendelea zaidi kuishi Kahama kuliko hata shinyanga. shinyanga ni pabaya sana. iringa ni kuzuri isipokuwa hamna hela, at least shinyanga pamezungukwa na migodi ya kahama na ule wa almas, pamoja na kwamba ni bahati mbaya kwao kwamba miners wote huwa wanaspend pesa Mwanza na sio shinyanga. pale wanapita tu kama mtu yeyote yule anayepita.
Somehow,Mikoa ya TANZANIA inafanana karibia yote... watu waishio DAR ndio hupenda tabia za kufananisha miji.. nimetembea karibia mikoa yote sasa.. haina tofauti kabisa zaidi ya hali ya hewa.. yaan huku tropical, pale semi desert, kule equatorial etc... Lkn kwa majengo mikoa yote inafanana kwa kiwango kikubwa sana... mikoa yote hii majengo yako sctterd.. huwezi sema hapa ndipo hasa pameendelea...
Mikoa hii ifuatayo inafanana sana tofauti ni hali ya hewa...
IRINGA, MOROGORO, MOSHI, MARA, DODOMA, BUKOBA, MTWARA, RUKWA (SUMBAWANGA), SHINYANGA, SINGIDA NA PWANI...
Post sent using JamiiForums mobile app
Acha kufananisha mji wa almasi / dhahabu na ugolo
Post sent using JamiiForums mobile app