Biobenga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 394
- 533
Hiyo written itakua aptitude test, inapima uwezo wa maths, english na logic. Labda na mswali machache ambayo ni basics tu ya field husika.
Practical itakua directly related to the field, na ICT ni technical field kama hujui hakuna ubabaishaji ndo maana kuna practical interview.
Kwa hiyo ili uweze kutoboa interview za namna hyo inabidi uwe vizuri kwenye sehemu zote mbili.
Practical itakua directly related to the field, na ICT ni technical field kama hujui hakuna ubabaishaji ndo maana kuna practical interview.
Kwa hiyo ili uweze kutoboa interview za namna hyo inabidi uwe vizuri kwenye sehemu zote mbili.