Watanzania kampuni hii ya mabasi ni hatari sana

Wataalam wa Fasihi tupo. Bora hili kuliko Yale ya Makampuni mengine maana siku hizi yanasubiri hili bus limekosea wapi wapate pa kusemea. Huwa wanatumia udhaifu wa bus hili kutafutia kiki
 
dereva kashusha abiria wengi ambao inadaiwa hawakua na tiketi za safari na balaa zaidi kawashusha porini bila hata kuwarudishia mizigo yao iliomo kwenye hili basi, dereva yupo makini sana, amemuagiza konda akague upya tiket huenda kuna wengine waliojificha wakati wa ukaguzi wa kwanza, Pia dereva kaamuru watoto wajawazito woote washuke hakuna nafasi. MSIMDRIVE! WACHA AWADRIVE!
 
Safari tuliyoitegemea ichukue siku chache tu sasa imekuwa ndefu zaidi na ngumu na hatujafika hata robo ya safari hii. Kampuni ya mabasi tuliyoichagua ndo inatukwamisha na kupelekea safari yetu kuwa ngumu na ndefu sana

Siku zote hizi tukiwa njiani tumeshapata tabu sana njiani, lakini kwa bahati mbaya tukifika kituo kinachofuata hatubadilishi basi (kampuni nyingine) tunapanda tena basi lingine la kampuni ile ile ya mwanzo tukiwa na matumaini tutafika salama na kwa wakati lakini kila mara huwa habari inakuwa ni ile ile na kwa bahati mbaya tunashindwa kuwa na ujasiri au ufahamu wa kushuka na kupanda basi la kampuni nyingine

Tuko kwenye basi la kampuni hii mbovu lakini sasa huyu dereva tuliye nae kidogo ananipa matumaini japo anayumbayumba lakini naona labda tumvumilie kwa sababu naona kama ndani ya basi tupo tunaomkubali na tupo tunaomkataa.

Tunamuombea kwa mungu atufikishe salama na kwa wakati maana waliomtangulia tena wa kampuni hiyo hiyo walituchelewesha sana...

Na tukifika kwenye kituo kingine kama mambo yatakuwa bado ni yale yale, nawashauri abiria wenzangu kwa pamoja tushuke tupande basi la kampuni nyingine....

Kwa sasa ni kumuombea tu dereva wetu mpendwa atufikishe salama....wala tusimpigie kelele tutamchanganya......
Nafikili tumpe muda muda Dereva wetu ni ugeni tu wa njia atatulia vizur barabaran labda atatufikisha safari yetu, we si unaona anavyojinad kuA Dereva ni yeye tu Tanzania, anataka hata kupinga madereva waliomtangulia waliofanya kampuni hiyo ifike hapo ilipo
 
Huyo dereva mliyenae sasa ana historia ya kuvuta bangi. Muombe mfike salama. Inasemekana pia ni mtusi. Hana uchungu na waDanganyika! Muda wowote anaweza kuangusha Bus.
 
Safari tuliyoitegemea ichukue siku chache tu sasa imekuwa ndefu zaidi na ngumu na hatujafika hata robo ya safari hii. Kampuni ya mabasi tuliyoichagua ndo inatukwamisha na kupelekea safari yetu kuwa ngumu na ndefu sana

Siku zote hizi tukiwa njiani tumeshapata tabu sana njiani, lakini kwa bahati mbaya tukifika kituo kinachofuata hatubadilishi basi (kampuni nyingine) tunapanda tena basi lingine la kampuni ile ile ya mwanzo tukiwa na matumaini tutafika salama na kwa wakati lakini kila mara huwa habari inakuwa ni ile ile na kwa bahati mbaya tunashindwa kuwa na ujasiri au ufahamu wa kushuka na kupanda basi la kampuni nyingine

Tuko kwenye basi la kampuni hii mbovu lakini sasa huyu dereva tuliye nae kidogo ananipa matumaini japo anayumbayumba lakini naona labda tumvumilie kwa sababu naona kama ndani ya basi tupo tunaomkubali na tupo tunaomkataa.

Tunamuombea kwa mungu atufikishe salama na kwa wakati maana waliomtangulia tena wa kampuni hiyo hiyo walituchelewesha sana...

Na tukifika kwenye kituo kingine kama mambo yatakuwa bado ni yale yale, nawashauri abiria wenzangu kwa pamoja tushuke tupande basi la kampuni nyingine....

Kwa sasa ni kumuombea tu dereva wetu mpendwa atufikishe salama....wala tusimpigie kelele tutamchanganya......

Kwi kwi kwi kwi kwi !
Nakumbuka mwaka 95 nilipanda basi la Tawaqual kwenda Mbeya enzi hizo kituo ni Mnazimmoja. Dereva akiitwa Giriki, huo mwendo kila mmoja alikuwa kimya ndani ya basi akiwemo mzee mmoja wa kilokole aliyekuwa akihubiri mwanzo wa safari....tulipofika Chalinze aliamua kukaa kimya.....hakuna mahubiri mpaka tunafika Mbeya saa 11.30 jioni.
Naingia home naulizwa ulipanda basi gani nikawaambia Tawaqual ya Tunduma ya Giriki. Nikapigwa marufuku kupanda tena.
Lakini ndio kampuni niliyoioenda miaka hiyo, nikikosa hilo nilitumia kampuni ya Mwamahapa...
Kaka Kampuni hii ya MABASI ni nzuri kama tuna haraka ya kufika tuendako. Huyu dereva hana tofauti na GIRIKI wa Tawaqual. ...kama una roho nyepesi shuka au utashushwa tu...acha atupeleke ....abiria huchagua kampuni ya mabasi ya kusafiria....
Twende dereva wetu .....abiria apigaye kelele piga chini.....Mwambie KONDA wako awe makini na abiria wako.....Pia mwambie Assistant Driver wako acheze na MATRAFIKI tu barabarani....milima ya Nyang'olo, Quoro, Nyoka na Kitonga twende na 120km/h. Barabara unazijua zote ......si umepita humo ukiendesha malori ya wakandarasi wa ujenzi!
 
Kumbe umepanda basi basi mtakuwa mnapelekwa sehem nyingne mbona dereva alisema anaendesha roli???
 
mambasi ya makampuni mengine yanasubiri mabasi ya hii kampuni yaliyochoka ndio wanayanunua ni heri nipande bus la kampuni hii kwani ingawa mwendo haueleweki lakini mabasi yao sio chakavu
 
Safari tuliyoitegemea ichukue siku chache tu sasa imekuwa ndefu zaidi na ngumu na hatujafika hata robo ya safari hii. Kampuni ya mabasi tuliyoichagua ndo inatukwamisha na kupelekea safari yetu kuwa ngumu na ndefu sana

Siku zote hizi tukiwa njiani tumeshapata tabu sana njiani, lakini kwa bahati mbaya tukifika kituo kinachofuata hatubadilishi basi (kampuni nyingine) tunapanda tena basi lingine la kampuni ile ile ya mwanzo tukiwa na matumaini tutafika salama na kwa wakati lakini kila mara huwa habari inakuwa ni ile ile na kwa bahati mbaya tunashindwa kuwa na ujasiri au ufahamu wa kushuka na kupanda basi la kampuni nyingine

Tuko kwenye basi la kampuni hii mbovu lakini sasa huyu dereva tuliye nae kidogo ananipa matumaini japo anayumbayumba lakini naona labda tumvumilie kwa sababu naona kama ndani ya basi tupo tunaomkubali na tupo tunaomkataa.

Tunamuombea kwa mungu atufikishe salama na kwa wakati maana waliomtangulia tena wa kampuni hiyo hiyo walituchelewesha sana...

Na tukifika kwenye kituo kingine kama mambo yatakuwa bado ni yale yale, nawashauri abiria wenzangu kwa pamoja tushuke tupande basi la kampuni nyingine....

Kwa sasa ni kumuombea tu dereva wetu mpendwa atufikishe salama....wala tusimpigie kelele tutamchanganya......
Funguka uandishi wa mafumbo ni tabia ya woga
 
Back
Top Bottom