Umesema kweli@Kadhi Mkuu yaani sheria zingin ni za kijinga sana zimekosa jicho la tatu!kwamba je kama mama atafukuzw shule,baba atafungwa miaka 30 je mtoto ambaye atakaezaliwa atapataje haki zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu Ommy huwa no zero brain huwa anawaza ngono kila Mara !post zake zote ni ngono tu !!kam vipi pitia page yake ya Instagram ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ninaona tatizo la wema ana wivu sana hasa akiona rafiki yake anamzidi mvuto!hii ni kwasababu anajiona mzuri kuliko wengine!Nina experience sana na wadada wa haina kama ya wema coz yalishanitokea kwa marafik kam wawil hv,walikuw na tabia ya kuanzisha ugomv usio na kichwa wala miguu hasw kama...
Umeongea point sana kwa sababu ndo maana vijana wadogo wanakufa kwasabu ya kupenda kulelewa!Hata akifanikiwa kuoa in mzigo mkubwa kwn lazima akatafute mmama mwenye pesa zake amtunze.Sasa unakuta huyo mama mwenyewe kashaungua kitambo so anaupakua kisha anampelekea mke wake!!jamani vijana fanyeni...
Jamani kama MTU ni wa mchepuko atachepuka tu !hata ungefanyie nini .wanawake tuache utumwa wa ndoa jaman coz kama mtu anaona lazima ale kila akionacho huwez mzuia mpaka achue uamuzi mwenyewe!Kwani ni wanaume wangap wanawaacha wanawake zao nyumban anaamua kuchepuka na mahousegirl wao ambao hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.