wachache sana wanawake kama wewe, mwingine mnakutana tu kwenye magroup hapo hapo kirungu, sina vocha, sijui naumwa, ooh sijala nirushie japo elf 10, what is the f....k!! mtu hunijui tayari unaomba hela, kama upo hivyo kweli monica basi ubarikiweMe cwezag kabisa kuomba pesa
98% ni pesa mduguUna matatizo tu kwa mawazo yako wanawake wengine shida yao sio pesa usikariri
hapo umenena, lakini sio moja kwa moja mnageuza atm, ooh kodi imeisha, mara sijala, mara sina vocha na mbaya zaidi unamuwekea vocha, utabipiwa mpaka vocha itaisha sasa hubaki najiuliza je kubeep tu vocha inaweza ikaisha jamani,Kwann usubiri had uombwe?,wanawake wengine wanaona aibu kuomba
Nyie wa hivi ni wazuri ila shida ipo siku ukidondosha bomu. Huwa ni genuine case na huwa mzinga mkubwa. Utasikia " naomba niongezee kidogo school fees ya mtoto" au "nikopeshe nadaiwa kodi mwaka mzima, ntakurudishia"Me cwezag kabisa kuomba pesa
Nimecheka saana.Nyie wa hivi ni wazuri ila shida ipo siku ukidondosha bomu. Huwa ni genuine case na huwa mzinga mkubwa. Utasikia " naomba niongezee kidogo school fees ya mtoto" au "nikopeshe nadaiwa kodi mwaka mzima, ntakurudishia"