kwa nini Diet pills na surgery? gym nakuelewa, mimi nina tumbo flat sipendi kabisa kuwa na kitambi ila kikua kidogo tu ,"my future ex" anaanza kulalamka weeee, wakati likitambi lake ni kama mimba ya miezi mitano. so jamani msiwape presha wapenzi wenu na hayo madiet pills na surgery...too fake...
Serio unafuata yale ya kitamthilia km jina lako nin? "Literally you were supposed to kiss"? Nadhani usingmsahau huyo dada km stori yako ni ya kweli. Thubutuuu
Eti zinc hizi sic pack zinaleta chakula mezani na ada ya watoto.? Walahi mi nikiona mwanaume kajaza mwili au katengeneza hayo masix paki attraction inakisha ghafla. Mwanaume anashinda gym simtaki chaaa ila haimanishi napenda vitambi. Kitambii big no.
Yani sio kinateleza ila ni kichaaaafu. Shame yani tiles zimegeuka rangi uchafu umekoomaa katikati ya tiles uwwiiiiii. Yani choo no sehemu ya raha kinapaswa kua safi kwelikweli sawa na jiko.
Mmenipa uchungu....nilimkopesha rafiki yangu alipungukiwa ada 1.2m na ilikua ni karibu na mitihani so angekosa kadi ya kufanya mtihani. Ni mfanyakazi na najua hadi kiasi cha mshahara wake mpaka ninavyoongea research amemaliza na anagraduate dec 2013. Kila nikimuuliza esa yangu ananipa matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.