Ngoja niende kwa namba kama nilivyoanza mwanzo:
1.Wewe na nani???????.
2. Swali sikuelekeza kwako ndugu nilielekeza kwa mtoa mada.
3. Hivi una kibali cha kuishi nchini Tanzania kweli, au ndio wale walengwa was oparesheni kimbunga . Maana hicho kiswahili ulichoniandikia nina wasiwasi na uraia...
1.Hivi uliumbwa na Mungu?? Hebu mtafute kwa bidii yeye aliyekupa pumzi na sio huu uchafu majini.
2.Na hapa sio mahali pake, huku ni mapenzi, mahusiano na urafiki unatujazia idadi ya threads zisizo na msingi.
3.Hamishia mahali husika.
4.HIZO ROHO ZAKO CHAFU ZISHINDWE KWA JINA LA YESU KRISTO WA...
Mimi nilishamkimbiza mmoja kwa ujinga huohuo mtu mzima kila siku kafulia, yani hakuna siku ana hela. Mishe zote hizi mjini hapa utakosaje vihela vya hapa na pale.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.