Kuomba ilhali niko mzima kiakili na kimwili kwangu mwiko.
Been on my own since I was 18 and I've never asked even my parents for money.
Sasa sielewi dume zima unaanzaje kumwomba mtu mwingine hela.
Mimi nilishamkimbiza mmoja kwa ujinga huohuo mtu mzima kila siku kafulia, yani hakuna siku ana hela. Mishe zote hizi mjini hapa utakosaje vihela vya hapa na pale.