Kamwe usmwamin mtu % zote. Sio kitu rahisi kumkabidhi moyo mtu uliyekutana naye ktk safar ya maisha yako hata mm baba yako usiniamin" MWAMIN MAMA YAKO TU NAYE KWA 98% ,,,,,,,,,,,, haya ni maneno niliyokuwa naambiwa na baba yangu.......... Hata mm binafsi sijawahi kumwamin mpenz wangu hata siku...