Hii ndio Dar ya mwaka 1887

Hii ndio Dar ya mwaka 1887

SHOOyaKIBABE

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
2,182
Reaction score
1,717
bongo enzi hizo.jpg
 
Ndo maana wanalalamikia wakuja, na hatutoki ng'o.
 
Yani ningechukua masaki na mikocheni nzima kudaadeki. Ukoo wa Nyamgluu ungekua na hela balaa!
 
Yani ningechukua masaki na mikocheni nzima kudaadeki. Ukoo wa Nyamgluu ungekua na hela balaa!

Nyamgluu, unafkiri ungeweza kupasogelea maeneo hayo? kulikuwa ni pori la simba mkuu..yaani hapo kinondoni tu ndo ilikuwa ni center ya tembo balaa..
 
du!! enzi hizo kabla ya dengue haijaanza kufanya mambo, na hii ni kabla ya dada poa kujinadi buguruni
 
Hadi sasa population yetu bado ndogo sana ukicompare na eneo la nchi nzima.
 
Back
Top Bottom