Recent content by Ndechumia

  1. Ndechumia

    Ushauri wa Bure: Usinunue gari hizi mkononi

    Mnaosema tusinunue magari used, wale matajir wanaobadilisha magari Kila baada ya miezi 6 watayapeleka wapi? Nafikiri magari used usinunue bei sawa na bei ya sokoni. Mfano gari sokon ni 35M, ukiuziwa 10-12M baada ya kuikagua na fundi wa uhakika sio mbaya
  2. Ndechumia

    Nahitaji mkopo Tsh. 350,000/=

    Kama ni issue ya haraka na unatumia mtandao wa Vodacom Kwa muda mrefu wanna huduma ya Songesha. Ila riba zao zinaongezeka Kila 24hrs
  3. Ndechumia

    Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Kwa maelezo Yako, hii pesa 10,000,000 akiweka UTT inaweza kumpa faida ya shs 100,000 Kila mwezi. Baada ya miezi 15 atakuwa na faida ya shs 1,500,000+10,000,000(Mtaji). Hii inafaa kama una mishemishe zingine za kipato. Hapo ni kama umehifadhi fedha Yako wakati unasubiria kitu Cha kuifanyia.
  4. Ndechumia

    Kununua gari used

    Hayarekebishiki?......hata ukinunua jipya ukalitumia kama sio mtunzaji, litakuwa bovu tu. Hujaona watu wananunua magari ya zaman kama Land Rover, Peogot na kuyarekebisha? Muhimu anunue Kwa bei reasonable arekebishe kama Lina tatizo maisha yaendelee. Naamini hakuna gari lisilorekebishika kama...
  5. Ndechumia

    Usafirishaji hatari wa Tv kuanzia Inch 60

    TV 65" hivi vigari vyetu hivi aiingii ujue, labda ufungu kwenye top roof
  6. Ndechumia

    Nawezaje kubadili umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ambaye naye alinunua kwa mtu?

    Nitashukuru, hebu fanya hivyo tafadhali. Yaani alietoa pesa Hana wasiwasi niliepokea ndo nahangaika. Ukiwa na maarifa ni taabu sana.
  7. Ndechumia

    Nawezaje kubadili umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ambaye naye alinunua kwa mtu?

    TRA Nilishaenda, wakaniambia Naweza Fanya transfer online. Kipengele ni NiDA ya mnunuaji, TIN #, na picha, Mkataba na resit ya efd Naweza Fanya kitu vikapatikana
  8. Ndechumia

    Nawezaje kubadili umiliki wa gari nililonunua kwa mtu ambaye naye alinunua kwa mtu?

    Mie Nina shida inayokaribiana na hiyo. Nilimuuzia mtu gari (nilifahamiana nae kuipitia jamaa yangu). Hakumaliza malipo nikampa gari Kwa makubaliano kuwa atamalizia deni ndani ya wk 2, ili aje achukue kadi OG. Hajarudi nyuma mpaka Leo hii ilikuwa 2023.(alihama alipokuwa baada ya kuingia mgogoro...
  9. Ndechumia

    Wazo la kukopa fedha benki

    We kama unataka kununua gari, Kwa kuanzia usinunue gari ya bei kubwa hivyo. Tafuta Fundi mzuri (wapo) nunua gari zilizotumika hapa nchini. Achana na gari kubwa (Alphad), nunua gari ndogo ya watu 5 yenye chini ya 1,700cc, mf. Toyota Raum unaweza ipata ya 6M yenye Hali nzuri kabisa, ukafanya...
  10. Ndechumia

    Gari linaweza kukunyima amani, Ni tatizo gani lilikufanya ushinde sana magerejini na kuingia gharama mara kwa mara ?

    Mkuu Ku.na vitu vingine havisomeki huko hasa kama haviusiani na umeme....inaweza kulia.
  11. Ndechumia

    Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    (Mimi sio mtaalam) Kama una mpango wa kutumia hiyo gari zaidi ya miaka 2 ndo utaona faida yake. Assume Kila siku unaitumia wese la 10,000 Kwa mwezi kama 200,000 na mwaka 2,400,000. Kufunga huo mfumo na modification nyingine inaweza kugharim 2M+.
  12. Ndechumia

    Nina uraibu wa kutegemea sana chatGpt, nisaidieni namna ya kuacha

    Juzi kati hapa Kuna mwamba katoka kupiga x-ray, ikaitupia Ile picha na kuiliza ifanye interpretation, alichojibiwa ndo hicho hicho alichoenda kuambiwa na daktar, dawa tu ndo zilikuwa tofauti. Chatgpt ni nzuri kama unaitumia wisely.
  13. Ndechumia

    Afadhali ushike jembe ukalime, kuliko kuomba sala hii

    Kama maombi yanajibiwa Kwa nini tusiendelee?
  14. Ndechumia

    Karibu, Ujipatie Mabati kutoka Sunbank kwa bei rafiki ya kiwandani

    Mkuu kama unaweza weka picha na bei. Ila najua hakuna picha ya Gauge. Mfano smooth inaonekanaje
  15. Ndechumia

    Mtumishi wa umma jitahidi ukope kwa awamu zenye muda mfupi mfupi

    Mkuu ulipataje mkopo bila kuthibitishwa kazini? Serikalini ni baada ya miezi 12, au mkopo ulichukua July 2024? Huo mkopo wa miaka 3 ulipata shs ngap ukaweza kununua kiwanja na kujenga? Au tayari ilikuwa na pesa ingine ukajazia na ya mkopo? Kuna taarifa nyingi hujatupatia kiasi kwamba zinaleta...
Back
Top Bottom