Mnaosema tusinunue magari used, wale matajir wanaobadilisha magari Kila baada ya miezi 6 watayapeleka wapi?
Nafikiri magari used usinunue bei sawa na bei ya sokoni. Mfano gari sokon ni 35M, ukiuziwa 10-12M baada ya kuikagua na fundi wa uhakika sio mbaya
Kwa maelezo Yako, hii pesa 10,000,000 akiweka UTT inaweza kumpa faida ya shs 100,000 Kila mwezi. Baada ya miezi 15 atakuwa na faida ya shs 1,500,000+10,000,000(Mtaji).
Hii inafaa kama una mishemishe zingine za kipato. Hapo ni kama umehifadhi fedha Yako wakati unasubiria kitu Cha kuifanyia.
Hayarekebishiki?......hata ukinunua jipya ukalitumia kama sio mtunzaji, litakuwa bovu tu.
Hujaona watu wananunua magari ya zaman kama Land Rover, Peogot na kuyarekebisha?
Muhimu anunue Kwa bei reasonable arekebishe kama Lina tatizo maisha yaendelee. Naamini hakuna gari lisilorekebishika kama...
TRA Nilishaenda, wakaniambia Naweza Fanya transfer online.
Kipengele ni NiDA ya mnunuaji, TIN #, na picha, Mkataba na resit ya efd Naweza Fanya kitu vikapatikana
Mie Nina shida inayokaribiana na hiyo.
Nilimuuzia mtu gari (nilifahamiana nae kuipitia jamaa yangu). Hakumaliza malipo nikampa gari Kwa makubaliano kuwa atamalizia deni ndani ya wk 2, ili aje achukue kadi OG.
Hajarudi nyuma mpaka Leo hii ilikuwa 2023.(alihama alipokuwa baada ya kuingia mgogoro...
We kama unataka kununua gari, Kwa kuanzia usinunue gari ya bei kubwa hivyo. Tafuta Fundi mzuri (wapo) nunua gari zilizotumika hapa nchini. Achana na gari kubwa (Alphad), nunua gari ndogo ya watu 5 yenye chini ya 1,700cc, mf. Toyota Raum unaweza ipata ya 6M yenye Hali nzuri kabisa, ukafanya...
(Mimi sio mtaalam) Kama una mpango wa kutumia hiyo gari zaidi ya miaka 2 ndo utaona faida yake.
Assume Kila siku unaitumia wese la 10,000 Kwa mwezi kama 200,000 na mwaka 2,400,000.
Kufunga huo mfumo na modification nyingine inaweza kugharim 2M+.
Juzi kati hapa Kuna mwamba katoka kupiga x-ray, ikaitupia Ile picha na kuiliza ifanye interpretation, alichojibiwa ndo hicho hicho alichoenda kuambiwa na daktar, dawa tu ndo zilikuwa tofauti.
Chatgpt ni nzuri kama unaitumia wisely.
Mkuu ulipataje mkopo bila kuthibitishwa kazini? Serikalini ni baada ya miezi 12, au mkopo ulichukua July 2024? Huo mkopo wa miaka 3 ulipata shs ngap ukaweza kununua kiwanja na kujenga? Au tayari ilikuwa na pesa ingine ukajazia na ya mkopo?
Kuna taarifa nyingi hujatupatia kiasi kwamba zinaleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.