Usibadili wire kwa fundi asieijua Dualis kama vile kuweka redio/amplify, taa za busta nk...utaichoma. Huko Japan mpaka wanasitisha uzalishaji hazina case ya kuwaka moto....Zikitua bongo land....kila mtu ni mtaalam
Huu mfuko unawafaa wale wanaoweka akiba bank kwenye saving acc ambapo unaendana na makato.
Mimi nipo kwenye mfuko wa liquid fund.
Nilikuwa na mpango wa kununua kitu fulan, nikawa nakusanya pesa kidogo kidogo kutimiza lengo langu. Mwanzoni nilikuwa naziweka kwenye Acc ya bank (Saving Acc)...
Miaka ya 2004 kuna jamaa maeneo ya Karakata (Kipawa) alijimilikisha kiwanja. Yy aliuziwa kiwanja akajenga akahamia..Kulikuwa na kiwanja Pembeni yake akawa anapanda matembele kiaina na kufugia vifaranga mchana ( ile style ya kuzungushia net). Hakuwahi kumuona mmiliki ila majiran wake waliwahi...
Hii story imebidi nisome comments zote, inahusu maisha ya uhalisia.
Tunasubiri mrejesho...nataman kujua hiyo kazi umelipwa shs ngap!!! Maana 2.5 kupata docs sio haba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.