Recent content by Ndechumia

  1. Ndechumia

    Alarm ya mafuta kuflash

    kama huwa una safari ndefundefu weka nusu/full tank ndo utajua. 10,000 ni kama lita 3, wakati reserve inaweza ikawa zaidi ya lita 6.
  2. Ndechumia

    Nyumba za 60m zinaweza kuleta 2m kila mwezi kama kodi?

    Hii inafaa mtu ambae ana mishemishe nyingi huna mda wa kusimamia uwekezaji. Na risk ni ndogo
  3. Ndechumia

    Natafuta fundi wa Pajero Min, Arusha

    Unaweza kuta shida plugs, au coil, cheki na fundi,
  4. Ndechumia

    Mafundi wazuri wa Nissan Duals

    Usibadili wire kwa fundi asieijua Dualis kama vile kuweka redio/amplify, taa za busta nk...utaichoma. Huko Japan mpaka wanasitisha uzalishaji hazina case ya kuwaka moto....Zikitua bongo land....kila mtu ni mtaalam
  5. Ndechumia

    Suluhisho la konokono msimu huu wa masika ni kumdhibiti malkia wao

    Mkuu kiufupi konokono kwa mbele jike kwa nyuma dume, wanagekuikiana wanapigana game.....wote wanataga
  6. Ndechumia

    Biashara ya hardware kwa mtaji wa mil.7

    Nina mpango kama wako.....cement kila mfuko nimeona unapata kati ya shs 500- 800
  7. Ndechumia

    Ushauri kuhusu kuhamia kwangu

    Ni yule aliekuwa Mwanajeshi akafunga neti kwenye mwembe? Kila mtu alimshangaa kwa kweli.
  8. Ndechumia

    Plot for sale Arusha njiro

    Hujasena kama kimepimwa au la. Mkono=mkonoo?
  9. Ndechumia

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Huu mfuko unawafaa wale wanaoweka akiba bank kwenye saving acc ambapo unaendana na makato. Mimi nipo kwenye mfuko wa liquid fund. Nilikuwa na mpango wa kununua kitu fulan, nikawa nakusanya pesa kidogo kidogo kutimiza lengo langu. Mwanzoni nilikuwa naziweka kwenye Acc ya bank (Saving Acc)...
  10. Ndechumia

    Ushauri: Alipe kiasi gani kwa huu mkangafu wa Murano?

    Kama body nje na ndani ipo pouwa...ukinunua uweke engine na gia box mpya. Bei ndo sijui
  11. Ndechumia

    Hapa jirani yangu pana nyumba haijawahi kukaliwa na watu tokea ikamilike kujengwa. Ni mwaka wa 10 huu, mpaka geti linaanza kuoza. Nijitwalie?

    Miaka ya 2004 kuna jamaa maeneo ya Karakata (Kipawa) alijimilikisha kiwanja. Yy aliuziwa kiwanja akajenga akahamia..Kulikuwa na kiwanja Pembeni yake akawa anapanda matembele kiaina na kufugia vifaranga mchana ( ile style ya kuzungushia net). Hakuwahi kumuona mmiliki ila majiran wake waliwahi...
  12. Ndechumia

    Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

    Hii story imebidi nisome comments zote, inahusu maisha ya uhalisia. Tunasubiri mrejesho...nataman kujua hiyo kazi umelipwa shs ngap!!! Maana 2.5 kupata docs sio haba
  13. Ndechumia

    Ni lita ngapi ya Mafuta wakuu naweza nikatumia kutoka Arusha Mpaka Simiyu

    Arusha-Simiyu ni km 548 (Google) Andaa wastan wa lita 60. Tabia yako ya uendeshaji inaweza athiri ulaji wa mafuta.
  14. Ndechumia

    Msaada kuhusu ulaji wa mafuta wa gari yangu

    Ingependeza kama ungesema unapata lita ngapi kwenye hiyo 20K
  15. Ndechumia

    Ushauri namna nzuri ya kutumia RPM Kwenye gari

    Kwa gari zenye cc ndogo kumaitain hii ni changamoto
Back
Top Bottom